mfuga kuku
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 824
- 650
Ingawa Mungu alituasa tuwajali wajane siyo tuwatombe, hakuna mjane wa umri chini ya miaka 60.Bila shaka hawa wana mapenzi ya Kweli na hata Mungu ametusiaitizia kuwajali wajane, kama kuna mjane asizidi miaka 40 namuomba in box tujaliane, Mahusiano yakikaa vizuri awe tayari kupima Afya.
Naomba kuwasilisha.
Kweli kabisa,lakini watakukatalia ukweli uliosemaIngawa Mungu alituasa tuwajali wajane siyo tuwatombe, hakuna mjane wa umri chini ya miaka 60.
Nipo serious namuhitaji kimahusiano ya karibu kabisa.Una mhitaji ili msaidiane kwenye mambo mbalimbali ya kimaisha na Ufugaji Wa Kuku??
Tuendelee kusubiri bado sijabahatika!Ukipata wawili usinisahau mkuu....[emoji2955]
Sasa huduma za kindoa watazipata wapi na wao ni binaadamu kama sisi? kuwabagua hauoni huo ni ukatili?Ingawa Mungu alituasa tuwajali wajane siyo tuwatombe, hakuna mjane wa umri chini ya miaka 60.
Niunganishe nae.Kuna dada angu hapa yeye siyo mjane tu dah
Kakosa teuzi[emoji2]
Ulishampata mjane?Bila shaka hawa wana mapenzi ya Kweli na hata Mungu ametusisitizia kuwajali wajane, kama kuna mjane asizidi miaka 40 namuomba inbox tujaliane, Mahusiano yakikaa vizuri awe tayari kupima Afya.
Naomba kuwasilisha.