johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Yule rafiki yangu injinia kutokea Japan ameshangazwa na taifa kubwa kama Tanzania lenye watu zaidi ya milioni 50 kushindwa kubangua korosho.
Mjapani ameniambia kuwa nguvu wanayoitumia wanasiasa kuongea kwa mdomo wangeishusha kwenye mikono yao taifa hili lingepiga hatua kubwa.
Yaani unauza korosho kwa bei sawa na 15% ya bei yake halisi kwenye soko kwa sababu ya " uvivu" tu wa kuibangua? Hyo kule Japan au Korea ya kusini na China isingewezekana.
Watanzania wamewekeza zaidi kwenye kuongea badala ya kutenda. Endapo watabadilika na kuwa watendaji zaidi kama Rais Magufuli anavyowabadilisha, basi wanaweza kuufikia uchumi wa Korea Kusini au Singapore na kuupita.
Hii ni habari njema kutoka kwa rafiki yangu Mjepu.
Maendeleo hayana vyama!
Mjapani ameniambia kuwa nguvu wanayoitumia wanasiasa kuongea kwa mdomo wangeishusha kwenye mikono yao taifa hili lingepiga hatua kubwa.
Yaani unauza korosho kwa bei sawa na 15% ya bei yake halisi kwenye soko kwa sababu ya " uvivu" tu wa kuibangua? Hyo kule Japan au Korea ya kusini na China isingewezekana.
Watanzania wamewekeza zaidi kwenye kuongea badala ya kutenda. Endapo watabadilika na kuwa watendaji zaidi kama Rais Magufuli anavyowabadilisha, basi wanaweza kuufikia uchumi wa Korea Kusini au Singapore na kuupita.
Hii ni habari njema kutoka kwa rafiki yangu Mjepu.
Maendeleo hayana vyama!