Respect
Member
- Jun 24, 2009
- 28
- 0
Wewe ni mjasilia mali wa kweli??
Kuna bidhaa nimeianzisha (new product), tayari iko sokoni kwa majaribio na imeanza kufanya vizuri tu, sasa inahitaji nguvu nzito kidogo, peke yangu itachukua muda mrefu kusimama; HIVYO NAFUTA 'PATNA' wa kibiashara.
*Imesajiliwa, na inatengenezwa na mtaalam anayetambulika na vyombo husika amabae ni mimi mwenyewe.
*Ni biashara utakayofanya kwa maisha yako yoote na kuwarisisha wanao..
*Nafasi ya kukua na kuwa ya kimataifa ni kubwa sana ni juhudi za kweli tu zina hitajika...
*soko la nchini ni kubwa mno, nakuhakikishia hatutaweza kulimaliza!
*Haihitaji running capital mkuuubwa sanaa, ila inahitaji uaminifu wa hali ya juu..
*Mitambo na mashine zote zipo kamili na ziaendelea na kazi.
*Makubaliano ya biashara yatafanyika mbele ya mwanasheria na mashahidi wengine tutakaoona wanafaa..ili kuondoa 'Utapeli'.
Mwisho; nakuhakikishia, siyo biashara ya kubahatisha! njoo tuzungumze.......
0773 244254
**********
Huu ni mwanzo tu .......
Kuna bidhaa nimeianzisha (new product), tayari iko sokoni kwa majaribio na imeanza kufanya vizuri tu, sasa inahitaji nguvu nzito kidogo, peke yangu itachukua muda mrefu kusimama; HIVYO NAFUTA 'PATNA' wa kibiashara.
*Imesajiliwa, na inatengenezwa na mtaalam anayetambulika na vyombo husika amabae ni mimi mwenyewe.
*Ni biashara utakayofanya kwa maisha yako yoote na kuwarisisha wanao..
*Nafasi ya kukua na kuwa ya kimataifa ni kubwa sana ni juhudi za kweli tu zina hitajika...
*soko la nchini ni kubwa mno, nakuhakikishia hatutaweza kulimaliza!
*Haihitaji running capital mkuuubwa sanaa, ila inahitaji uaminifu wa hali ya juu..
*Mitambo na mashine zote zipo kamili na ziaendelea na kazi.
*Makubaliano ya biashara yatafanyika mbele ya mwanasheria na mashahidi wengine tutakaoona wanafaa..ili kuondoa 'Utapeli'.
Mwisho; nakuhakikishia, siyo biashara ya kubahatisha! njoo tuzungumze.......
0773 244254
**********
Huu ni mwanzo tu .......