Ni kwamba mjasirimali ni neno pana sana na tukianza kuelezea historia yake itachukua siku hapa, kwa kifupi Mjasirimali ni yule anaye anzisha kitu kipya, ni mvumbuzi, ni yule anaye take risk, ni owner of other factor of production kama aridh, wafanyakazi na kazalika,
Tofauti kati ya mfanya biashara na mjasirimali,
- Wajasiriamali wote ni wafanyabiashara but si wafanya biashara wote ni wajasirimali
- So kwa hapa Tanzania wali uno waona si wajasirimali bali ni wafanya biashara make hawana hata sifa moja ya kuitwa wajasirimali sema huku bongo wanasiasa wanachanganya sana wanawaita wafanyabiashara kwamba ni wajasirimali,
Ni kwamba mjasirimali ni neno pana sana na tukianza kuelezea historia yake itachukua siku hapa, kwa kifupi Mjasirimali ni yule anaye anzisha kitu kipya, ni mvumbuzi, ni yule anaye take risk, ni owner of other factor of production kama aridh, wafanyakazi na kazalika,
Tofauti kati ya mfanya biashara na mjasirimali,
- Wajasiriamali wote ni wafanyabiashara but si wafanya biashara wote ni wajasirimali
- So kwa hapa Tanzania wali uno waona si wajasirimali bali ni wafanya biashara make hawana hata sifa moja ya kuitwa wajasirimali sema huku bongo wanasiasa wanachanganya sana wanawaita wafanyabiashara kwamba ni wajasirimali,