Hii ni zile tomato za bei ghali, pi zinakua kwenye mahotel makubwa....
Hizi tunazikula huku kwa kina hamis pub, unamiminiwa tomato sauce, unatumia
Unga wa ngano
Maji ya moto
Tomato paste
Sukari
Chumvi
Rangi
Vinegar
Bonge la chupa inauzwa buku jero tu, hiyo ya nyanya kweli kachupa kadunchu elf nne