mjasiriamali wa mwaka wa jamii forum

Eberhard

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2010
Posts
1,153
Reaction score
809
Wakuu naomba tupendekeze majina matatu ambayo ambayo badaye tutawashindanisha na kupata mjasirimamali wa mwaka 2013 wa jamii forum
 
Tunasubiri majina tuyaweke kwenye pool
 
okay. Na mimi nakubali tuwashindanishe hao watu watatu. kwa maana ya
Kubota
malila
mama joe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…