Anza kuandika mateso unayofanyiwa wewe, usione aibu utakoleza soga. Usijadili ya ndugu au Jirani yako.Habari wandugu, bila shaka asilimia kubwa ya watu waliomo humu niwanaume.
Hebu mje tujadiri mateso tunayopatiwa na wake zetu na jinsi ya kuyaepuka.
PichaHabari wandugu, bila shaka asilimia kubwa ya watu waliomo humu ni wanaume.
Hebu mje tujadili mateso tunayopatiwa na wake zetu na jinsi ya kuyaepuka.
Habari wandugu, bila shaka asilimia kubwa ya watu waliomo humu ni wanaume.
Hebu mje tujadili mateso tunayopatiwa na wake zetu na jinsi ya kuyaepuka.
Ndoa ni kwa ajili ya watu ambao hawajakamilika, au nasema uongo mzee baba?Hivi bado mnaoa tuuh
Si mshaambiwa ndoa ni kama cancer bado hamskii tu na kuona hamuoni
Embu fanya uoe huko,😂Hivi bado mnaoa tuuh
Si mshaambiwa ndoa ni kama cancer bado hamskii tu na kuona hamuoni
[emoji2]Ushini nasi kwa akili