EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,085
Kuchora mkuuHatua za mwisho mwisho za kuchora au kujenga
HahahahahahahahRangi za kishamba sana, hata Wachagga siku hizi hawapaki hayo marangi kwenye mabasi yao
Nimekumiss. Wanasemaje Dodoma? Ntakuja Tena tukae pale pa siku ile, miaka ileeee Dodoma ikiwa chini ya CDAHahahahahahahah
Nimekumiss pia, Dom nimetoka since 2012.Nimekumiss. Wanasemaje Dodoma? Ntakuja Tena tukae pale pa siku ile, miaka ileeee Dodoma ikiwa chini ya CDA
Swali zuri sanaHatua za mwisho mwisho za kuchora au kujenga
Shukrani sana kwa comment yako mkuu, ngoja nifanye improvementMkuu hiyo rangi ni vipi mbona haina mvuto.....?!
Rangi imenifanya nisi enjoy kutazama hizo picha kwa raha.
ahsante kwa hii comment mkuu ngoja nifanye improvement
shukrani kwa hii comment ngoja nifanye improvement.