UnazururaWalioko Lushoto nshatia timu niko friends corner
Kawasalimie wasambaa wa Sinza + DochiWalioko Lushoto nshatia timu niko friends corner
Mvua kawaida huko...kunafuka moshi na ukungu hatariPouwa nimefika salama niko kialilo ila kuna bonge la mvua
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Nna wasiwasi na hayo mavazi yako! kanzu nyeusi! na kilemba chekundu! uko pub ya pembeni ya makaburini! mh! mwenzangu?! na sasa hivi uko lushoto! Ukitoka hapo nahisi utaenda pangani! Vipi unatumia ule usafiri wako wa mfagio?! 🙂...
...mkumbushe yule babu yake Chachu Ombara akufungashie phantom zangu uje nazo,Magufuli hatabiriki..inabidi kumuwahi kabla hajamaliza likizo!Walioko Lushoto nshatia timu niko friends corner
Hiyo ya kizamani siku hizi kuna za wireless na Bluetooth...mkumbushe yule babu yake Chachu Ombara akufungashie phantom zangu uje nazo,Magufuli hatabiriki..inabidi kumuwahi kabla hajamaliza likizo!
...hahahahahaha...kweli Tanzania tuna kila rasilimali..hizo sasa ndo safi zaidi,Hapa Kazi Tu!Hiyo ya kizamani siku hizi kuna za wireless na Bluetooth
Hujamuona huyo aliko mbele yako mkono wa kuume amevaa kaniki kichwani kaweka usingaTuwasiliane tasavali Leo sijaja Kwa kificho niko Kwenye hiki kipub karibu na makaburi... Nimekaa pekeyangu nakunywa Malta nimevaaa kanzu nyeusi kilemba chekundu na makubadhi ya kahawia
Alikuwa na nani? Ha a hahNapajua ulipokuwa jana[emoji85] [emoji85]
Ukiangalia pembeni ya mtu mwenye kaniki kuna jamaa amekaa kwenye kigoda anajigidia togwaNi bongo muvi huyo