Paschal Ruta
Member
- Jul 16, 2016
- 42
- 27
Ningekuwa na mamlaka husika ningechagua mji mmoja ambao ungejengewa miundo mbinu mbalimbali halafu wadau mbalimbali wa sanaa wakapewa motisha ya kuwekeza sehemu hiyo.
Katika mji huo kutakuwa na studio mbalimbali za production, studio za muziki, makampuni ya usaili wa wasanii, makampuni ya kuuza na kukodisha vifaa, vituo vya mafunzo, nk.
Kwa mtazamo wako unadhani mji gani ungefaa kwa jukumu hili? Inabidi kuzingatia mandhari ya eneo, hali ya hewa, mahali mji ulipo na ukaribu wake na miji mingine ya kimkakati, nk.
Ukishawekeza kwenye mambo ya msingi, kutachochea ujenzi wa mahoteli, migahawa, kumbi za starehe, makazi bora, nk.
PS. Dar es salaam na Dodoma hapafai.
Katika mji huo kutakuwa na studio mbalimbali za production, studio za muziki, makampuni ya usaili wa wasanii, makampuni ya kuuza na kukodisha vifaa, vituo vya mafunzo, nk.
Kwa mtazamo wako unadhani mji gani ungefaa kwa jukumu hili? Inabidi kuzingatia mandhari ya eneo, hali ya hewa, mahali mji ulipo na ukaribu wake na miji mingine ya kimkakati, nk.
Ukishawekeza kwenye mambo ya msingi, kutachochea ujenzi wa mahoteli, migahawa, kumbi za starehe, makazi bora, nk.
PS. Dar es salaam na Dodoma hapafai.