Mji Mkuu wa Tanzania ni ...

Mji Mkuu wa Tanzania ni ...

Mlenge

R I P
Joined
Oct 31, 2006
Posts
2,125
Reaction score
2,306
Dodoma. Hakuna ubishi kwamba mji mkuu wa Tanzania ni Dodoma.

Uamuzi wa kuhamishia mji mkuu Dodoma ni wa kupongezwa.

Lipo hitaji la kuweka historia sawa, kwa vile vyombo vya habari, hata vile vya umma, haviko imara kutamka Dodoma ni mji mkuu wa Tanzania. Jambo hili linaweza kusababisha wanahistoria wa miaka ijayo wakapata changamoto ya kuripoti kwa usahihi.
 
Back
Top Bottom