Mji mzito huu part 2


Kwa uandishi huu unaonekana kabisa we ni shoga na sie mschana
Sijui kwa nini nyie mashoga waga mna lugha chafu
Anyways nadhani unachotaka kukifanya ni kuwachafua watu ili uonekane unachokifanya ni kawaida
Ila kaa ukijua hakuna anaependa shoga, na wengi wetu tukimjua mtu flan ni shoga ata kumtupia mawe na kumuua tunatamani
 
Hili tatizo lipo sana, kuna dogo mmoja nilikuwa nikimjua vizur namheshim sana pia kwao ana dada wazuri weupe ma shombe shombe, mi nikawa nachati nae kama kawaida tena nilitaka nimpeleleze dada yake maana nilikuwa namazoea nae pia alikuwa ananiamini sana kama rafiki yake,

Mwisho wa siku meseji zikaanza kubadilika mara aniambie njoo tulale, mara leo kuna baridi ungekuwepo tungelala wote, mmmh nilishituka sana ila nikasema hawa machotara si kazi kutafunwa mifupa, nikamuuliza utanitafutia mtoto mzuri nikija?? Oooh akanijibu mbona hata yeye anaweza, sikuamini, nikamwambia hebu nitumie picha japo nione tgo kama mtandao upo sawa, mara picha ikaingia, mmmh nikaamua kumpotezea kila akijaribu kunipgia namwambia nipo na kazi na msg nikawa sijibu, akalauumu wee mwishowe akachoka.

Hiyo laana ya kumhemea mwanaume mwenzangu hapana jamani,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…