Mji mzito huu part 2

miaka yote nimekuwa nasikia cyrill & Jux kwao tangu kitambo hela ya mboga haisumbui...sasa sijui fix
ila hii ya Dimpozo haikuwa hata ya kusimuliwa....kuna watu mpk wadai hiyo sumu aliwekewa & mmoja wa mende wake
 
nani huyu?
 
mapunga wanapenda ako ka pozi ka kukunja nne😀 huyu jux kuna kipindi james delicious alikuwa anamtaka kwa lazima kumbe anawajua kbs wateja wao 😀😀
 
Enzi za kwenda kulala msibani ili upate umbea vizuri...hahahaaa. Hivi msiba wa Babu hujaenda kulala? Ukute na wewe uliruka na vitooo
 
Hata jux sidhan kama kwao wana shida wale , mama ake si nasikia ni balozi sijui , in short crew ya jux hawanaga shida za hivyo , Sasa sijui wamekumbwa Na nini
Pole yake Jux Mimi nikajua Rijali,vipi kuhusu kusoma Kule China? Na kuna kipindi Jux alikuja juu kimziki mpaka ikaja steji anapambanishwa na diamond katika song zake na video zake.
 
mxieew......



Hivi hili neno linatamkwaje?[emoji23]
 
miaka yote nimekuwa nasikia cyrill & Jux kwao tangu kitambo hela ya mboga haisumbui...sasa sijui fix
ila hii ya Dimpozo haikuwa hata ya kusimuliwa....kuna watu mpk wadai hiyo sumu aliwekewa & mmoja wa mende wake
Cyrill niliwahi kusoma na wadogo zake mapacha Peter na Paul ukweli pesa ya kubadilisha mboga tu hakuna maajabu tena alipokufa mama yao ndo walizidi kuvurugwa
 
Anika chats zao jombaa, maana ninachokiona ulikuwa unatishia kujamba wakati unaumwa tumbo la kihara[emoji23][emoji23][emoji23]

We can see through your lies man.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…