Mji mzito huu part 2

Nakujua toka enzi zilee unaenda dirishani kwa diamond na wema kufuata umbea, enzi zile ulitafuta msiba wa kuambiana ulipo ukaupata Ukaenda kulala msibani ili upate umbea.... Kaka angu warumi we kiboko, yani hakuna kama wewe dadangu [emoji16]
Hapa umeniacha tutani , umeandika kaka yako warumi halafu mbele ukamalizia Dada yako warumi

Naomba unifungulie hii code
 
Huyu meneja wa nyota 5 sio wa Hyatt kweli... [emoji23]
 
Nilisikia maza ake ni muuza ngada... Ndo hizo pesa walizonazo ila sio za kutisha sana
 
Cyrill niliwahi kusoma na wadogo zake mapacha Peter na Paul ukweli pesa ya kubadilisha mboga tu hakuna maajabu tena alipokufa mama yao ndo walizidi kuvurugwa
Yes kasoma Essacs Int. School, Mama yao alikuwa ana mmiliki kampuni ya clearing and forwarding... Walikuwa wa nakaa mbezi... Kamikaze hata madem anafumua marinda...kufumua wanaume si ni 1 step ahead tu
Tatizo watu hawataki kuamini ila hakuna siri ya watu wawili duniani hata unayo fanya na mke wako kitandani kuna siku ataenda mwambia shoga ake na inakuwa sio siri tena
 
Hivi wale pacha wako wapi mda sana tanagu 2012 tulipoamaliza pale sijakutana nao tena
 
Duuuuu sasa kama jux angekua punga Vanessa si angemkimbia kwa kushindwa kumridhisha????
Vee mwenyewe ana danga muda mwingine, alishawah lala na boss wa kichina kwa Tsh 2m per night
Hawa wasanii msione wana ishi maisha mazuri, they do shitty things
Kanye alishawah kuimba
"It seems we living the American dream,
the people higher up, have the lowest self esteem,
The prettiest people do the ugliest things,
On the road to riches and diamond rings,"

Ndo maisha ya hawa wasanii sasa...
 
2 million per night...duuuuuh...
 
Wapenda vitonga nakumbuka zamani kulikua na yule bosi wa air tanzania kawala sana kiboga hawa wasanii saizi naona wanashindana kudanga na dada zao
Kirindo wa Unguja je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…