Hapa umeniacha tutani , umeandika kaka yako warumi halafu mbele ukamalizia Dada yako warumiNakujua toka enzi zilee unaenda dirishani kwa diamond na wema kufuata umbea, enzi zile ulitafuta msiba wa kuambiana ulipo ukaupata Ukaenda kulala msibani ili upate umbea.... Kaka angu warumi we kiboko, yani hakuna kama wewe dadangu [emoji16]
Ni kaka yangu, lakini pia ni friend angu sana kiasi namuona kama dada angu kabisaHapa umeniacha tutani , umeandika kaka yako warumi halafu mbele ukamalizia Dada yako warumi
Naomba unifungulie hii code
Wapenda vitonga nakumbuka zamani kulikua na yule bosi wa air tanzania kawala sana kiboga hawa wasanii saizi naona wanashindana kudanga na dada zao
Kawaida mtu akiwa na wivu juu ya mtu aliyemzidi kwa namna moja au nyingine huwa hawezi kuificha.Wewe huwa nakuona mtu wa heshima sana sikutegemea komenti kama hii kutoka kwako
Wanaitwa mchicha mwibanasikia kuna mashoga baridi ambao wanaweza vizuri tu hizi kazi...labda yeye ni mmoja wapo [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Huyu Ex wa V nae siku hizi kashaanza kuwa mdangaji, huyu si nasikia kwao pesa zipo, hata music anafanyia hobby tu sio kama Ana njaa sana kama akina Domo Au ndo fix tu na yeye njaa tu kama wasanii wengine.
Basi bwana, nasikia cheusi mangala wetu alikua anadanga na Yule mtangazaji wa kiume millionaire kutoka kenya , na ndio sponsor wake, unaambiwa huyo mtangazaji ana pesa chafu, na ndio anayempa jeuri ya pesa Kaka yetu mtanashati asiye na makuu, pia anampa sana promo msanii wetu nyimbo zake zipenye pande za +254, Na nasikia mpaka Leo bado wapo wote.
Hivi karibuni tena sukari ya warembo anadaiwa kutoka na N music, at the same time pia wanashare penzi na manager wa hotel yenye hadhi ya nyota tano hapa mujini, unaambiwa huyo mzungu Ana pesa chafu , na ndiye anayewapa jeuri Hao wasanii mjini. Ndio maana wasanii wetu siku hizi hatuwaoni studio kutoa single , wao kutwa kusafiri na kuuza sura nchi za watu kwa pesa za kuhongwa
Siku hizi Hao wasanii hawakauki kwenye hiyo hotel expensive kila weekend, yan wamefanya hotel kama ya baba yao, kama wanazengo mkifuatilia mtaona, kuna wasanii wa bongo fleva kama wanne hivi hawakauki kwenye hiyo Hotel, yan wanaenda na kulala wakat wowote wanaojisikia, na huyo manager alivyo mzee Sasa , yani pesa hizi , baba jitu zima kazi kuaribu watoto wa watu , lakini na wenyew wanapenda short cut wacha tu wachezewe.
Uzuri huyo manager nae mwingi, anawabadilisha kama boxer, iddy nae kipindi Ndo mpya nae alikua anajishebedua kama kote , picha kila siku akiwa hotelin , yan watu mnawaza hawa wasanii wetu mziki unalipa kila siku wanalala hotel nyota tano wanabadilisha magar, kumbe mambo ya sponsor.
Hiyo hotel inaongozwa kutembelewa na mastaa wa kiume tu, Tena wale warembo warembo, kama mwenznagu una sura kama Harmonize hyo hotel utaiona jehanam, wenzenu wanapangiwa majumba na magari kama yote , wenzenu muziki wanafanya hotelin sio studio Tena .
Mwenzenu domo kila siku anahangaika studio kutoa nyimbo mpya, wenzangu na Mimi mnagombania wanaume wawape pesa za bure halafu mnaanza kumchukia domo wakat mwenzenu anachuma kwa jasho lake, mxieew .
Na wewe sukari ya warembo ndio maana kila siku mnagombana na baby wako unajifanya humtaki kumbe uko busy na wanaume wenzako mxiew.
Aisee kumbeKawaida mtu akiwa na wivu juu ya mtu aliyemzidi kwa namna moja au nyingine huwa hawezi kuificha.
Na zanzibarIla Dar na Arusha haya mambo yapo sana sijui ni hizi hotel kubwa kubwa ndio chanzoo?
View attachment 1095093
Insta na nyie hampitwi mxieew copy paste tu mbwa nyie
Naona ommy dimpoz kawafungulia njia vijana wenzie, maana alikua anawarusha sana roho sio kwa trip zile za ibiza,Mara dubai, china khaa Ila ommy nyie kajua kutumia Tigo yake vzur hata Mimi nampongeza kwa kweli .
Sasa hawa akina jux naona mambo yamepamba moto wanawaaribia soko akina Davtor mjini, Ila huyu si nilisikia anapesa sana na kwao pia wana pesa, Sasa anadanga hili iweje au na yeye Ndo anapenda tu hayo mambo, maana wenzie tunaweza kusema shida zimewajaa ndio maana Ila sio yeye khaa.
Yes kasoma Essacs Int. School, Mama yao alikuwa ana mmiliki kampuni ya clearing and forwarding... Walikuwa wa nakaa mbezi... Kamikaze hata madem anafumua marinda...kufumua wanaume si ni 1 step ahead tuCyrill niliwahi kusoma na wadogo zake mapacha Peter na Paul ukweli pesa ya kubadilisha mboga tu hakuna maajabu tena alipokufa mama yao ndo walizidi kuvurugwa
They say, "you aint real man until you get some haters."
Yes kasoma Essacs Int. School, Mama yao alikuwa ana mmiliki kampuni ya clearing and forwarding... Walikuwa wa nakaa mbezi... Kamikaze hata madem anafumua marinda...kufumua wanaume si ni 1 step ahead tu
Tatizo watu hawataki kuamini ila hakuna siri ya watu wawili duniani hata unayo fanya na mke wako kitandani kuna siku ataenda mwambia shoga ake na inakuwa sio siri tena
Vee mwenyewe ana danga muda mwingine, alishawah lala na boss wa kichina kwa Tsh 2m per nightDuuuuu sasa kama jux angekua punga Vanessa si angemkimbia kwa kushindwa kumridhisha????
Mkija mnalalama wanawake hawaolewi, nfyuuuuuuuux waolewe na nani wakati nao wanaume wameolewa?
Hahaha, mediocrity at its highest level. Mimi ninachoomba ni hizo chats zao tu ulizosema unataka kuanika hapa.Kwan mnanilipa humu mxiee kupenda umbea tu mijanaume mizima, nipishen uko
Vee mwenyewe ana danga muda mwingine, alishawah lala na boss wa kichina kwa Tsh 2m per night
Hawa wasanii msione wana ishi maisha mazuri, they do shitty things
Kanye alishawah kuimba
"It seems we living the American dream,
the people higher up, have the lowest self esteem,
The prettiest people do the ugliest things,
On the road to riches and diamond rings,"
Ndo maisha ya hawa wasanii sasa...
Kirindo wa Unguja je?Wapenda vitonga nakumbuka zamani kulikua na yule bosi wa air tanzania kawala sana kiboga hawa wasanii saizi naona wanashindana kudanga na dada zao
2 million per night...duuuuuh...