Mji mzito huu

Duu siamini kwa hyu lecturer wangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ohoo, unashangaa huyo tu? There's a small circles within a circle, to know most of it you need to be inside the circle, it's analogous to freemasons, you need to know secrets step inside.

Je, ukiambiwa yule former minister of tourism? Does he look like one? But few seems to notice he's in for it.

Naomba mambo yasiwe mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ohoooo.
 
Na mengi yasiwe mambo. Astaghfirulaaah
 
Duu kweli mji mzito kweli kweli mkuu, ukimuona huwezi dhania kabisa, na ana familia yake kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkewe nadhan ni mwimbaji, miriam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa ni mwendo wa codes tu otherwise uzi itafungwa behind mji huu watu wazito mambo yao ni mazito pia, ukiambiwa unaweza kubaki mdomo wazi tu. Usione watu wanaendesha range sijui BMW na location kama zote kuna mengi nyuma yake.
Na mengi yasiwe mambo. Astaghfirulaaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule anaonyesha kabisa punga
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule wa utalii kabla sijaambiwa nilivokuwa namuona alivo mlege mlege mhhh nikawa namu doubt, kweli mkewe msiri huyo mwana saikolojia ndo kakubuhu baby wa mchungaji wa mle clouds anayejifanya mchungaji
Sio rahisi kumjua labda kama uliwahi kuambiwa ndio kuna vitu utaanza kuvibaini, sijajua unamuongelea yule wa utalii au mtaalamu wa mambo ya saikolojia?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmh, Unadata hatari, kwani yule wa mawingu ni mpokeaji au mtoaji kwa Dtk. Chris?

Ila wa utalii yupo humble as if nothing is cooking on, wamazingira nawaza angeupata upresidaa mbona sheria zingekua ulojo kwa kina delicious?
Yule wa utalii kabla sijaambiwa nilivokuwa namuona alivo mlege mlege mhhh nikawa namu doubt, kweli mkewe msiri huyo mwana saikolojia ndo kakubuhu baby wa mchungaji wa mle clouds anayejifanya mchungaji

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule ndo ana mpakua yule fake pastor anayejifanya motivational huyo mwanasaikolojia tabia zake hazieleweki dume zima ni kupost ma selfie Mara misosi anajifanya anapendana kumbe majanga tupu.

Yule anajificha mno mana ila hamna siri na huyu waziri wa Environment naye eti walitaka kuwa Raisi wa nchi aisee, nchi ingepata ukame bure sasa mwanaume mfanyaji na mfwanyaji uwezo wao huwa mdogo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asee ndio ipo hivyo!

Ila wa mazingira ndio maana namuonaga insta na yule kijana wa UN, Fashionista, anasoma diplomasia sijui paulo rio, ushanipata hapa.

Mbona yule daud mkolomije aliwageuka wenzake kuja na crackdown dhidi yao nini kilitokea?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa huyo fashiniosta si ndo mke sasa anahudumiwa mkuu. Eeeh mji mzito huu hatari sana
Yule aliwageyka wenzake ila hicho kimchezo wanacho wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa huyo fashiniosta si ndo mke sasa anahudumiwa mkuu. Eeeh mji mzito huu hatari sana
Yule aliwageyka wenzake ila hicho kimchezo wanacho wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mke tena wakati kapangiwa apartment masaki na muzungu? Au ndio sidechick wake?

Mmmh.. !

Zachini nikwamba mkolomije alimpa kijana fulani jina wala sura simjui, apartment kule upper residential areas ili awe anamtelezesha taroni popote ajisikiapo sasa kijana kula ugali tu akaona ameloose appetite, akatafuta appetizer kinyume na mkataba wa big boss, alivyogundua alipanick fukuza kijana na kuchukia sana kiasi cha kuanzisha kampeni kama sehemu ya kutolea hasira.

Yasemwayo Yapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale wanadanga ka wanawake mbona hawawezi kusubiria mmoja atleast hao ni class tofauti na hawa wengine.
Huyo.aliyepangiwa na fa fa fa zamani sasa kapangiwa apartment na mzungu huko masaki mambo yake safi hatari hana shida yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…