Mji mzito huu

Kuna vitu vingine vinatia hadi wasiwasi

Dj dommy kaenda mjengoni kavuta mke ndani,Kenedytheremedy kavuta mke,Dj Zero kavuta mke,Adam ana jiko..wewe upoupo tu,lazima watu wawe na mashaka

Anyway,watajua wenyewe
[emoji3]
 
vipi kuhusu ben kinyaiya vipi yeye hayupo kwenye chama?
 
duuu hadi dayamondi na barnaba nao wamo[emoji3][emoji3][emoji3]
 
duuu!!! kuna mzee mmoja anaijua sana historia ya nchi hii.pamoja na siasa zake anampenda kweli ja...ry anawish aje awe rais siku moja kumbe p....nga!!! vipi kuhusu yule rafiki yake aliyekuwa clouds r.....e mth...ba
Huyu ni vers analiwa na kula, [emoji3][emoji3][emoji3] dunia tamu hii wallah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…