Mji mzito huu

Daah R.I.P
 

Rest well warumi natamani ungekuja kutujibu daah sikuwahi kuwa member humu ila nilikusoma sana.
 
Tyt umeona?
Shouger nimeiona, na kimgusano flani hivi cha kuamshana vinyweleo, mji haubebeki huu....utakaa kutamani ya watu oooh jamani ningekua kama flani kumbe ukipewa yake utakufa, sijui kistuli anajiskiaje
 
Shouger nimeiona, na kimgusano flani hivi cha kuamshana vinyweleo, mji haubebeki huu....utakaa kutamani ya watu oooh jamani ningekua kama flani kumbe ukipewa yake utakufa, sijui kistuli anajiskiaje
mmmm
 
Unyapinyapi tunauweza tz

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…