Mji mzito huu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka hapa km chizi, aggrey tatzo hajipi mazoez ya, kupunguza mwili, ila anadamshi na anazungka sehem zenye uhtaj wa pesa, na saiv shost yaka kajala bas wanawezan wenyewe.

Tatzo la gays wa Bongo wengi Elimu hawwna, na wanategemeaa kudanga ndo wanaishia kudhalilika lol.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee nacheka had tumbo linauma, anafanya km anawasha staster, uwiiiih
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Si uliionaga ile picha? Kwenye msiba wa jasiri yani kijana kakumbatiwa na bilionea maji basi nae kajilaza mabegani.....[emoji23][emoji23] Yani enzi hizi mwanamke anakuibia mume mwanaume anakuibia mume kazi ipoooo
Afuu akawa anajiliza huku kakumbatiwa!
 
Ni suala la muda tu..soon tutachukulia hii inshu ya ushoga kawaida..si mnaona kama hivi hawa jamaa wanatoa vijambio halafu fresh tu tunaishi nao..🤫
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…