Mji mzito huu

Katika harakati za uhai wake . Aliwahi kwenda kulala msibani ili tu aje na evidence [emoji16][emoji16]

RIP warumi.. kati ya watu niliokuwa nawafatilia sana ukimtukana kumsema vibaya awezi panic atakujibu kwa Hoja ...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Apumzike Kwa Amani
 
Katika harakati za uhai wake . Aliwahi kwenda kulala msibani ili tu aje na evidence 😁😁

RIP warumi.. kati ya watu niliokuwa nawafatilia sana ukimtukana kumsema vibaya awezi panic atakujibu kwa Hoja ...
Kwakweli binamu alikua hatari jamani, msiba wa Adam kuambiana huo, akaenda kulala huko ili apate umbea.

Nyumbani kwa wema eti alishaenda hadi kuchungulia dirishani🤣🤣🤣

Apumzike kwa amani Warumi, alikua akitupa burudani sana.
 
Katika harakati za uhai wake . Aliwahi kwenda kulala msibani ili tu aje na evidence 😁😁

RIP warumi.. kati ya watu niliokuwa nawafatilia sana ukimtukana kumsema vibaya awezi panic atakujibu kwa Hoja ...
Kaondoka na dhambi ya kusengenya wenzake .. alikuwa mtukanaji mzuri pia....mungu amlipe anachostahili...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…