Mji mzito mnoo: Fununu: Mdada mtangazaji afukuzwa kazi,usagaji watajwa

Duh mtu anatukuza mavuzi kwenye media kama akili zime lose vile., akaendeleze upumbavu wake insta huko.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Inasemekana Duma anakula hio nyapu, huo usagaji kaanza lini?
Ila anakuwaga na topic zake za ajabu mitandaoni, mara kukojozwa sijui kufika kileleni nk.
Nilichogundua watangazaji wengi wa kike ni malaya
Yule demu bana hajielewi kabisa afu hajiamini ndo mana anavaa kibamed muda wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe ni mtangazaji? Binafsi nilivyoona video anazungumzia mavuzi nilisikia sana nikajiweka hivi hana wazazi au ndugu? Kama kweli amefukuzwa itakuwa vizuri, apokelewe clouds au wasafi wasiojali Mambo ya kipumbavu.
Alijisahau sana,,niwapongeze wenye kampuni kwakufanyakaz nzuri

Watu wanapokuw kwenye public eye wanajisahau kuwa wanatamwa na watu wengi

mambo ya umalaya wayafanye nyumbani kwao sio kazini
 
Kumbe ni mtangazaji? Binafsi nilivyoona video anazungumzia mavuzi nilisikitika sana nikajiuliza hivi hana wazazi au ndugu? Kama kweli amefukuzwa itakuwa vizuri, apokelewe clouds au wasafi wasiojali Mambo ya kipumbavu.
Huyu shuzy kabla ya eatv alikua clouds kipindi cha jmosi jioni kilikua kinapiga masebene

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu shuzy kabla ya eatv alikua clouds kipindi cha jmosi jioni kilikua kinapiga masebene

Sent using Jamii Forums mobile app
unachanganya,wa clouds anaitwa suzy baltazary mtoto wa yule mwanamuziki wa zamani abel baltazari siyo huyu haka cha juzi,kalinikera sana na ile picha yake anaonyesha makwapa hayajanyolewa mara akaanza kuongeleza kwanmba kafuga mavuzi sijui akinyoa ni kero ..dah
 
Nilimsikia akihojiwa kuwa ameshatembea na wanamme wangapi kwa mwaka huu akajibu ameshatembea na wanamme 20.naona hiyo ndiyo sababu ya kufukuzwa kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi nae yule ni superstar eti...aolewe na pierre wanaendana...bibie kick yake mavuzi na pierre kick yake gambe...huyu akimwaga gambe yule mavuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…