adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Moja kwa moja.
Mamlaka ya mji wa Berlin nchini ujerumani imepitisha uamuzi huu baada ya mwanamke aliyeondolewa kwenye bwawa la kuogelea bila nguo kuchukua hatua za kisheria.
Mamlaka zinadai kuwa alikuwa muathiriwa wa ubaguzi na wageni wote wanaokwenda katika mabwawa hayo wanahaki ya kuogelea bila ya nguo ya juu.
#UziTayari
Mamlaka ya mji wa Berlin nchini ujerumani imepitisha uamuzi huu baada ya mwanamke aliyeondolewa kwenye bwawa la kuogelea bila nguo kuchukua hatua za kisheria.
Mamlaka zinadai kuwa alikuwa muathiriwa wa ubaguzi na wageni wote wanaokwenda katika mabwawa hayo wanahaki ya kuogelea bila ya nguo ya juu.
#UziTayari