Mjihadhari na maji ya kilimanjaro...mengi feki

Dah asa yule jamaa nitamshusheje ile mikono!
 
dah! nilisahau, kumbe watanzania tuna utamaduni wa kutofuatilia mambo (hasa mambo huhimu). Ina maana akisema kanunua kiwandani ndio ishu inaishia hapo? Hadithi za muuzaji haikuhusu hata kidigo, kinachokuhusu wewe ni AFYA YAKO.
Hakikisha mangi hachezi na afya yako.
 

Umeingia huko maabara ukafanya analysis na ukagundua hivyo au unabashiri itakuwa hivyo?

Kuwa makini ndugu yangu..kauli kama hizi zina athari kubwa kwenye maamuzi, afya na biashara za watu.
 
Umeingia huko maabara ukafanya analysis na ukagundua hivyo au unabashiri itakuwa hivyo?

Kuwa makini ndugu yangu..kauli kama hizi zina athari kubwa kwenye maamuzi, afya na biashara za watu.

Angalia post ya 38 ujue nilichofanya.
 
Niliposoma post yako ya kwanza kidogo nikuamini lakini nilipoendelea kusoma posts zako nyingine nimegundua umeanzisha hii thread kimaslahi!

Wewe umenunua maji tu lakini unamajibu ya maswali yote.Mfano hapa
ao wanaotengeneza fek wanashirikiana na wafanyakaz wasio waaaminifu wanaosambaza izo bdhaa so mwenye duka anajiridhisha kabsaaa..ahh asi nimenunua kwenye gar lao kabsa...nimenunua depot pale ahh kumbe siku mingiiiiiii watu washafanya yaoo

Sorry,It doesn't make sense to me!
Gharama za bottles!
Maji yenyewe hata kama niya bomba kuna gharama zake za kujaza!
Kupack!
Kusafirisha mpaka kwa wasambazaji!
Kuwaonga wasambazaji!
Hayo maji ya Kilimanjaro yanauzwa kiasi gani mpaka mtu afanye yote hayo na kurisk kukamatwa?
 
Nilifanya culture ya hayo maji growth ya wadudu kwa Kilimanjaro was significance kusema inazidiwa ubora na Uhai.

Kwa hiyo ukifanya culture ya muhogo na mkate wadudu wakaota haraka zaidi kwenye mhogo utafanya conclusion kwamba mkate ni bora kuliko mhogo?
 
Sijasema wameota haraka.
Muda siyo issue hata wakiota baada ya siku au wiki haijalishi maana wadudu wanatofautiana muda wa kugrow.
Cha msingi ni growth.
Na nilochomaanisha ni kwamba maji yaliyotoka kwenye chupa tofauti yofauti za kili yaliota colony kibao compared to Uhai.

Hapa ni tahafhari inatolewa.
Kama sijakosea watu wametakiwa kuwa makini siyo kuacha kutumia.
Ila kama hutaki kuchukua tahadhari acha.
 
hii ni kweli kabisa kama mara mbili nilikutana na maji yana taste tofauti nikajaribu kuyaa ha hadi kesho yake kuyanusa yalikuwa na harufu mbaya

Wahusika wawe makini na wawasake wanOwachakachulia product yao.
 
Nilinunua maji ya kilimanjaro nusu lita tarehe 18.06.2013 saa mbili usiku, Mombo,taste yake haikuwa ya kawaida,yalichakachuliwa,tuweni makini,kagua chupa kabla hujayatumia!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…