ngota wa nzambe
Senior Member
- Jul 28, 2015
- 121
- 136
Naye pia alitoka salamaPole sana mkuu, yeye yuko salama? Ajali kubwa sana.
IT huwa sio madereva, ni deiwaka waliochangamka.Barabarani wao ni mbio tu bila hesabu utadhani wanawahisha magazeti
Mungu wangu pole sana..kama una comprehensive relaxWakuu, salamu zenu! Juzi natoka zangu Dom, Mdogo mdogo narudi zangu Dar! Basi nafika zangu pale Msolwa, mshenzi mmoja asiye na staha barabarani, anajifanya ana haraka ana overtake kijinga jinga! Tumekutana uso kwa pua, Ashukuriwe Mungu baba kwa kunitoa salama! Ila huyu mjinga nitadili naye sana tu naahidi hiliView attachment 1740392
😂 😂 😂Yeye pia ukute huko aliko anakulaumu Wewe!
Maisha haya 😂
Aaah..Ishakula kwangu..nina third part mkuu!Mungu wangu pole sana..kama una compressive relax
Jitahidi kesi iende mahakamani , bima yake italipaAaah..Ishakula kwangu..nina third part mkuu!
Comprehensive**Mungu wangu pole sana..kama una compressive relax
[emoji1545][emoji1545][emoji1545]typing errorComprehensive**
Wakuu, salamu zenu! Juzi natoka zangu Dom, Mdogo mdogo narudi zangu Dar! Basi nafika zangu pale Msolwa, mshenzi mmoja asiye na staha barabarani, anajifanya ana haraka ana overtake kijinga jinga! Tumekutana uso kwa pua, Ashukuriwe Mungu baba kwa kunitoa salama! Ila huyu mjinga nitadili naye sana tu naahidi hiliView attachment 1740392
Hapo ni nose cut au half cut ndio inaweza kurudisha gari kwenye shape yakeWale mafundi wa humu JF hi gari itatengenezeka kweli ?!
Wastani wa garama hapo yaweza kua kias gani?Hapo ni nose cut au half cut ndio inaweza kurudisha gari kwenye shape yake
Ushauri huu aubebeJitahidi kesi iende mahakamani , bima yake italipa
Na apate judgment form PF115 hii ndio itakayobeba hatima ya malipo yakeUshauri huu aubebe