Mjini kuna mambo mambo Zari amdhihaki Hamisa

wakisema waolewe misa atafaidika sana, kwasababu yeye anaishi hapa.
zari hawezi kuishi madale hata sikumoja.

tatizo la bossfamous ana bla bla nyingi[emoji23][emoji23] ndo mana kagongewa
Hivi kwanini zari hataki kuishi madale?
 
Uko vizuri mkuu[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
CEO mwenyewe amejilinganisha na laki mbili ndiyo tunaposhangaa
That's it is her weakness of course it hurts and it a terrible situation for any women try to imagine if this tragedy happened to you wouldn't you react at all? wengine tumekulia katika familia kama hizi so tunaelewa hali huwa inakuwaje it's really heartbreaking moment for anyone to be in.
 
Hata mimi nimefurahi acha kwanza aipate, diamond alivyomwita hamisa bitch is dying for fame ilhali akijua ni mwanae kweli, mama watano aliwashwa na kuongea pumba nyingi kuhusu hamisa sasaiv ni full aibu
 
Hawa wanaosema sema haya[emoji115] [emoji115] [emoji115]kipindi hicho hawakuwa wanamiliki simu nahisi story ya wema na zari waliisoma kwenye magazeti ya shigongo maana hua hata siwaelewi kampeni wapige wenyewe then waje wamlau kua zari kamnyakua dai kwa wema, hatari.harafu hii story zari kumwacha mmewe hawaijui hua wanadantia tu.
 
Watu wana wivu na zari hakuna kingine hawana sababu za msingi yaani hapa wanafurahi bora katendwa, bora tukose wote binadamu tuna roho mbaya acha kabisa.
 
Utasikia eti laana ya Ivan inamuandama.
Hawajui hata kwanini alimuacha.
Hawajiulizi na mali za Ivan na watoto waliokuwa wamezaa bado akamuacha.
Hawajiuliza mbona bado Ivan alimuamini zari kama kweli zari alikuwa na tatizo, hivi mke amsaliti mwanaume na amuache halafu bado mwanaume aendelee kumwaminj mkewe kiasi cha kumwachia na mali zake?
Wabongo wanadandia story
 
Diamond kachupa mkojo kenda kanyaga mavi
Hamisa ni kijana jike cha kiswahili , ule weupu ndo unawababisha ila upstairs hamna kitu.
Dai aachane nae kabisa huyu mcharuko....atamuharibia kazi zake kama ambavyo tayari amefanya.
Haya alofanya mpaka sasa hayana lengo la kumjenga Daimond.
Anatakiwa ampige marufuku mabeto kukanyaga nyumbani kwake ..kabisa angalia mwisho atakuendes kwa sangoma akutie uchizi...hafai huyu....
 
Wewe hata alivyokuwa anaeleza alimuomba daktari wake awepo wakati Hamisa anazaa, alilala na mwanae kama humpendi mama utafanya yote hayo?

Bibie ajue tu kuwa Ben ten amekutana na agemate wakiwa kwenye play ground.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] daah umenichekesha
 

Hamisa ni wife material
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…