Mjini kuna mambo mambo Zari amdhihaki Hamisa


Hamisa kawa follow Tifa na Nilan sijui wale wakubwa Wa Ivan hajawafuata. Hao watoto watatu ni ndugu hakuna namna Zari aiache tu hivyo.

Mume na mchepuko Tanzania mke South patamu hapo.
 
Samahani mi mgeni hapa town, huyo anaesali kwa ajili ya mapacha kapewa mimba na nani ya hao pacha?
 
Wale watoto 3 ni ndugu haiwezi futika sema ukweli mchungu. Wale wakubwa vyeupe dawa akiwafolo ntamshangaa
Wewe nae umekazana ni ndugu, kwani hizo account zimefunguliwa na hao akina Tiffa au Mama yao? Those accounts were Zari's ideas and ni yeye anazimanage. Kila mtu akae lane yake. Hao watoto wakikua wakubwa watajua wenyewe kama wanataka kufollow each other on instagram. Hamisa shida yake ni sponsorship, anataka na yeye wa kwake apate sponsorship kama akina Tiffa. What she does not know ni kwamba sponsorship za akina Tiffa was their mother's idea. Yes, Diamond alikua ana umaarufu lakini hakuwa na wazo hilo la kuwa brand watoto wao and make money. It was Zari's idea. Yeye Hamisa na yeye akune kichwa ajue atatafutaje za mwanae.
 

Sijakazana ' ni ndugu' hizo nyingine ni blaa blaa tu. Wale ni ndugu sasa 'one father' different mothers hahaha
 
Sijakazana ' ni ndugu' hizo nyingine ni blaa blaa tu. Wale ni ndugu sasa 'one father' different mothers hahaha
Kwa hiyo wasipo kua wana follow each other on instagram ina maanisha sio ndugu? I dont follow my brother on instagram, does that mean he is not my ndugu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…