Wananikimbusha lile farangati la wake za mzee Yusuf,ila wale bora maana Leyla alikuwa mkimya.Sasa hawa wake za Chibu wote wamekutana ngangari.Uke wenza mimi siuwezi.
Abdu kiba ndyo wanaendanaMIMI NAMSHAURI ZARI AZAE NA ALLY KIBA..
AU MNAONAJE
Hakujuwa kuwa vi Ben ten visumbufu?Ndo tatizo lake yy anahis money is everything's while not anaumia mnoo anajipa tu moyo amrudie tu diamond maana atapagawa
Anahitaji psychological treatment haraka sana
aiseeHapa bongo hakuna usupastaa ni Ulimbukeni tu wa maisha
Ndo tatizo la mobeto ila mi nahis km mondi yuko nyuma ya hamisa maana asingepata kibri hiki cha kujibu jus imagine siku zote mama d alikua kimya Leo kapata wapi guts za kujibuHear say nasikia baba Dully-Latina mwenyewe anamkandya Zari, Amisa asingeleta ushabiki maandazi hata nyumba angenunuliwa.
Mama Dully ana support ya ukoo mzima wa MadaleNdo tatizo la mobeto ila mi nahis km mondi yuko nyuma ya hamisa maana asingepata kibri hiki cha kujibu jus imagine siku zote mama d alikua kimya Leo kapata wapi guts za kujibu
Au alingoja azae kwanza ndo wapambanee manager Zari kamtukana sana hamisa
Mjini patamu asikwambie mtuIwe isiwe inauma. Amezaa na partner wake.halafu paap una follow watoto Wa mwenzio. Huo ni uchokozi.angempa mwenzie muda mtu yoyote asingependa. Na inaonyesha hamissa ataenda na zari sambamba.mtoto amempa confidence
Mbona vitu vidogo au angemfata pembeni ila kumuambia kua anapewa laki mbili kaaaahhh!!hapana kwa kweli hit mi ningejibuIwe isiwe inauma. Amezaa na partner wake.halafu paap una follow watoto Wa mwenzio. Huo ni uchokozi.angempa mwenzie muda mtu yoyote asingependa. Na inaonyesha hamissa ataenda na zari sambamba.mtoto amempa confidence
Diamond alisema Amisa atakuwa anapewa laki mbili kwa mweziSijaelewa laki 2 inaingiaje apo? Au kwavile mi ni Duke!?
Sio laki 5?!Ya child support!!
Sidhan ka Diamond atafanya ivo, labda demu awe kibri.Diamond alisema Amisa atakuwa anapewa laki mbili kwa mwezi