Mjini kuna mambo mambo Zari amdhihaki Hamisa

Mama watano akili zake ziko matakoni mwake, mwanaume katia dem kwny kitanda chako na mimba juu zaidi Bado na bwana akawa anaenda kulea kitumbo Hlf Bado unajipa moyo unapendwa kwa hiki kisanga diamond anampenda hamisa sema anamuogopa zari na si kwmb anampenda kivile, hlafu misa inaelekea kwa kitanda yuko good itabidi nimchek anipe mautundu
 
Ndo tatizo lake yy anahis money is everything's while not anaumia mnoo anajipa tu moyo amrudie tu diamond maana atapagawa

Anahitaji psychological treatment haraka sana
Kwani kamuacha[emoji3] [emoji3] , hana jeuri ya kumuacha
hapa tu kagongewa analia lia watu wanatupa shade mpaka basi.
akichwa naona itafanywa na after breakup party wcb[emoji3] [emoji3] ...

hapo angoje kwa birthday yake mond ampaambe maua ,na ampe nini sijui yaishe
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji6] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] loooohh!!zari kamblock diamond rasm IG
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji6] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] loooohh!!zari kamblock diamond rasm IG
 
Umeona eeeh ubavu wa kumuacha hana anatafuta kubembelezwa tuu
Akimuacha mondi atampata nani unafkiriii..
 
Umeona eeeh ubavu wa kumuacha hana anatafuta kubembelezwa tuu
Akimuacha mondi atampata nani unafkiriii..
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji6] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] loooohh!!zari kamblock diamond rasm IG
Naomba akazie kbs na kumuacha ili hamisa ajibebee mume kiulainii, lina nyodo sana Hilo libibi
 
Ndo tatizo lake yy anahis money is everything's while not anaumia mnoo anajipa tu moyo amrudie tu diamond maana atapagawa

Anahitaji psychological treatment haraka sana
Pesa sio kila kitu Ila anawarusha roho wasichana Wabongo kwasababu wanapenda Pesa bila kuwa na Akili za kuwekeza kasha wajua udhaifu wao.
 
hawa ndo akina nani jamani?
Nimekuja daslam nasikia zarii, zarii, sijui mobutoo, sijuii damondii, sijui nin.
Mtu wa kolomije napata shida hapa mjini
 
Iwe isiwe inauma. Amezaa na partner wake.halafu paap una follow watoto Wa mwenzio. Huo ni uchokozi.angempa mwenzie muda mtu yoyote asingependa. Na inaonyesha hamissa ataenda na zari sambamba.mtoto amempa confidence
Kwelii.Inauma aisee.I feel for Zari.Hii itamuuma maisha hata km ataamua kuendelea na Diamond.Mbaya zaidi mchepuko una guts hadi mtu huelewi anazitoa wapi.Seems kuna force behind this. All in all sifurahii alichofanyiwa Zari.Its the worst experience a woman can go through! Maisha haya!!
 
Umeongea very emotional
Yan nimekuona ndani ya viatu vya zari

Natamani hili jamvi lisianuliwe hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…