Mjini ni Dar es Salaam tu, Majiji yaliyobaki ni vijiji vikubwa

Mjini ni Dar es Salaam tu, Majiji yaliyobaki ni vijiji vikubwa

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Mwanza, Mbeya, Arusha, Dodoma na Tanga ni VIJIJI VIKUBWA

Nje ya Dsm ni ngumu kukuta jiji lenye mjumuiko wa vitu zaidi ya vitano vifuatavyo


  • Mji kuwa wazi walau hadi saa tano usiku
  • Mzunguko wa pesa angalau 1/3 ya dsm
  • Maghorofa zaidi ya 5 yaliyovuka ghorofa 10
  • Uwanja wa ndege wenye Destinations za Kimataifa
  • masoko makubwa
  • International Schools at least 3 (sio za necta)
  • Vyuo vya serikali zaidi ya 7
  • timu za mpira zaidi ya moja
  • uwanja wa mpira wa kisasa
  • barabara za kisasa
  • wasanii wa ngazi ya taifa wanaofanya kazi zao mkoani
  • studio hata moja inayotoa hits ngazi ya taifa
 
Nje ya Dsm ni ngumu kukuta jiji lenye mjumuiko wa vitu zaidi ya vitano vifuatavyo


  • Mji kuwa wazi walau hadi saa tano usiku
  • Maghorofa zaidi ya 5 yaliyovuka ghorofa 10
  • masoko makubwa
  • International Schools at least 3 (sio za necta)
  • Vyuo vya serikali zaidi ya 7
  • timu za mpira zaidi ya moja
  • uwanja wa mpira wa kisasa
  • barabara za kisasa
  • wasanii wanaoishi majiji hayo wanasikika level ya nchi
Hata Dsm yenyewe nayo pia ni Kijiji kikubwa. Takribani asilimia 80 ya Ardhi yote ya Mkoa wa Dsm haijapimwa (unsurveyed land) na Wala haiko kwenye Mipango-miji, completely a 'Squatter or Slums Area'. Aidha, takribani 70% ya nyumba na majengo yote kabisa yaliyopo ndani ya Mkoa wa Dsm hayafikiki kwa barabara za uhakika au hayafikiki kabisa kwa Barabara, bali yanafikika kwa njia za vichochoroni tu.
 
Hata Dsm yenyewe nayo pia ni Kijiji kikubwa. Takribani asilimia 80 ya Ardhi yote ya Mkoa wa Dsm haijapimwa (unsurveyed land) na Wala haiko kwenye Mipango-miji, completely a 'Squatter Area'. Aidha, takribani 70% ya nyumba na majengo yote kabisa yaliyopo ndani ya Mkoa wa Dsm hayafikiki kwa barabara za uhakika au hayafikiki kabisa kwa Barabara, bali yanafikika kwa njia za vichochoroni tu.
Tandale,vingunguti,manzese,keko nk, Dodoma imepimwa ikapimika!
 
Mwanza, Mbeya, Arusha, Dodoma na Tanga ni VIJIJI VIKUBWA

Nje ya Dsm ni ngumu kukuta jiji lenye mjumuiko wa vitu zaidi ya vitano vifuatavyo


  • Mji kuwa wazi walau hadi saa tano usiku
  • Mzunguko wa pesa angalau 1/3 ya dsm
  • Maghorofa zaidi ya 5 yaliyovuka ghorofa 10
  • Uwanja wa ndege wenye Destinations za Kimataifa
  • masoko makubwa
  • International Schools at least 3 (sio za necta)
  • Vyuo vya serikali zaidi ya 7
  • timu za mpira zaidi ya moja
  • uwanja wa mpira wa kisasa
  • barabara za kisasa
  • wasanii wa ngazi ya taifa wanaofanya kazi zao mkoani
  • studio hata moja inayotoa hits ngazi ya taifa
Zaidi ya asilimia 70 ya wakazi wa dar wanaishi kwenye slams na wanamaisha magumu sana
Check hapa
 
Siku ukibahatika kutembelea majiji yenyewe hata hili unaloita jiji utakuja kutengua kauli.
 
Kwaa taarifa yako, Sisi hatuna City Proper, hizo zote ni Local Cities.
Ambazo zina sifa hizi
1. Msongamamo wa watu tena maskini sana
2. Poor Infrastructure (Roads & bridges)
3. Uchafu/harufu, kila mahala ni dampo, barabara zomejaa michanga pembeni nk
4. Hamna security, vibaka wengi
5. Hamna Mpangilio. Sehemu yeyote wamachinga wanaweka biashara
6. Mipangilio ya miji hovyo

Kiukweli Dar sio jiji kwa level za Kimataifa. Ila humu Tz tunaona dar ni jiji sababu idadi ya watu & Serikali imekaa & kuwekeza huko kwa Muda mrefu. Lakini bado sio City Proper
 
IMG_0736.jpeg
 
Mwanza, Mbeya, Arusha, Dodoma na Tanga ni VIJIJI VIKUBWA

Nje ya Dsm ni ngumu kukuta jiji lenye mjumuiko wa vitu zaidi ya vitano vifuatavyo


  • Mji kuwa wazi walau hadi saa tano usiku
  • Mzunguko wa pesa angalau 1/3 ya dsm
  • Maghorofa zaidi ya 5 yaliyovuka ghorofa 10
  • Uwanja wa ndege wenye Destinations za Kimataifa
  • masoko makubwa
  • International Schools at least 3 (sio za necta)
  • Vyuo vya serikali zaidi ya 7
  • timu za mpira zaidi ya moja
  • uwanja wa mpira wa kisasa
  • barabara za kisasa
  • wasanii wa ngazi ya taifa wanaofanya kazi zao mkoani
  • studio hata moja inayotoa hits ngazi ya taifa
Acha ushamba wewe, ukitaka ujue Dar ni takataka uwe unatua pale JNIA hadi aibu zile slum zimejazana. Kwahiyo wewe umeona wasanii na studio ndio jiji
 
katika viwango vya kimataifa jiji ni moja tu tz majiji mengine ni vijiji vilivyo changamka
 
Katika standard za kimataifa, Tanzania hatuna jiji hata moja
 
Back
Top Bottom