Mjomba Mrisho Mpoto wa awamu ya 4 hayupo tena

Usher-smith MD

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2015
Posts
9,558
Reaction score
12,335
Mrisho Mpoto wa awamu ya JK alikuwa wa moto kweli, kila nyimbo ni fire.

Ila huyu wa sasa toka aamue kuunga mkono juhudi hata sielewi, maana vya kuimba zile tungo zake ni vingi kweli ila yupo kwenye mikutano ya CCM kila siku.

Huyu kama Polepole tu, njaa ndio ilikuwa inawasumbua.
 
Amejikita kwenye kilimo huko mkuranga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…