anagonga na kuacha meno yake yenye sumu pale alipogonga,
kung'ata ni kuweka meno na kushikilia mpka linatokea jeraha mahali hapo, kuuma ni kuweka meno mpaka ukatoka na kipande cha eneo ulipoweka meno yaani unatoka na kitu kisha unaacha jeraha.
Nimejaribu kufafanua.!