Mh. Tundu Lissu kwi,kwi, kwi kwi ,kwi, kwi.
Mabadiliko ni lazima hata Ombeni Sefue alibadilishwa fasta;
Vyeo sasa vinaanza kusambaa nchi nzima, kanda ya ziwa hehehehe, huhuhu.
Hata ingekuwa wewe usingeweza kumgomea bwana yule
Lazima kumtii rais....haijalishi Ni mjomba au mtu back
Utetezi wa ditto ni rahisi sana...Ni Kama yule balizi wa Tanzania ita...alivyojitetea kaelekezwa na rais