Mjue Charlie Chaplin, mwigizaji wa zamani

Hahaha makando kando lazima mkuu hasa ukizingatia star kama yeye na anapenda totozi wengi nastar wa kiume wako hivyo sema tu wanajifocha
halafu jamaa alikuwa handsome sana ndio maana totoz zilijigonga sana jamaa alizaliwa kipindi cha pasaka na akafa krismas big up sana
 
Hatari sana huyu babu, huwa nacheka sana nikiangalia movie zake, nafikiri Mr. Bean alicopy kwa huyu
 
Charlie Chaplin na Rowan Atkinson(Mr Bean) hawa jamaa mpaka kesho nawaangalia nikitaka kucheka.

Mr Bean somehow vichekesho vyake vya kuonyesha kabisa haya ni maigizo, yani yanakuwa haya make sense sometimes kama kuendesha gari kakaa juu ya gari anatumia fimbo kwenye accelerator, hakuna kitu kama hiko mtu anaeza kufanya. Charlie Chaplin shwari sana
 
Umeruka ruka sana matukio ya muhimu

Mfano aliishi maisha ya shida sana na hata kufikia kuwa ombaomba ili amsaidie mama yake,

Alipata kashfa ya kutembea na binti mtoto ambaye ilipelekea kukimbia nchi,na mengine mengi,tulia uiandike vizr
 


Uko vizuri
 
Uyo ni mungu wa vituko na malaika wake ni Mr bean na Lingo
 
Namkubali sana huyu jamaa ingawa vichekesho vyake vingi vimetengenezwa kwa old tech ila bado vinabamba sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…