Mjue Dharmendra wa Bagamoyo

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Anaitwa Dharmendra Mzimba.

Huyu lazima kazaliwa miaka ya 90 mwanzoni na baba ake alikuwa ana angalia sana picha za kihindi.

Kanikumbusha Niliwahi kusoma na jamaa yeye baba ake alikuwa anawaita watoto wake majina ya wasanii na watu maarufu. Alikuwa anawapa majina yote kamili kamili.

Kwa mfano huyo jamaa yeye alikuwa anaitwa Lucky Dube John.
 
Yule jamaa alimuita mtoto wake Fiston Mayele kisa yupo yanga sijui sasahivi anajisikiaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…