Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Orijino ilikuwa ina views chini ya milioni 1 ndani mwezi mmoja. Remix ilivyotoka ndio watu wakaanza kuitafuta orijino mimi nikiwa mmoja wapo, sasa hivi si haba ndio inaongoza kwenye videos alizoweka kwenye YouTube yake.Hahahaaaa eti Diamond alitaka kutembelea jina la Innos'b... Wakati YOPE Remix inatoka original song ilikuwa stacked kwenye 2 million views. Kwa taarifa yako remix imeibeba original song.
Wanamtafuna na katafunwa sana marekani ukumbuke alikua na akina Akon, muulizeni mayunga wa Tanzania aliombwa ndogo marekani akachomoa na kukimbia jumla
uchambuzi nje ya boksiInnoB ni mzima kweli yule?Ukimuangalia anaonekana kama Bwabwa hivi ,au ni macho yangu tu.Ila kajitahidi sana ile ngoma kali sana.
Kwahiyo ndo unataka kusema ni Diamond ndie kasafiria nyota ya mwenzake, au?! Hivi leo hii ukiitisha kura hata hapa JF watu waliokuwa wanamfahamu Innos'B kabla ya collabo na Diamond; wangapi walikuwa wanamjua?! Btw, original track ya Innos ilipitwa Views within 24 hoursm na re-mix, how come tena uone Diamond ndo katembelea nyota ya Innos'?!Kwa kiasi flan Dimond ni kama amefanikiwa kwani kwenye youtube wimbo original wa Innos’B yaani Po-Ye una views takribani Milioni 5.7 wakati ule walioimba pamoja na Diamond una views takribani Milioni 14.
Una Chuki ya wazi kwa Diamond, angalia ukizeeka utakua mchawi!Innos’B ama Innocent Balume kwa jina kamili ndio Bwana mdogo anaebamba sana kwenye anga za Afro Beats (Afro Congo) kwa sasa.
Amevuma sana na kibao chake cha Po-Ye (uchek hapa link). ambacho hata Msanii wa kizazi kipya Dimond ameomba wakirudie pamoja (wafanye remix).
Remix ni mbinu wasanii hutumia kama njia ya kuendeleza umaarufu wao kupitia mgongo wa wengine. Kwa lugha ya mtaani tunasema kusafiria nyota ya mwenzako.
Kwa kiasi flan Dimond ni kama amefanikiwa kwani kwenye youtube wimbo original wa Innos’B yaani Po-Ye una views takribani Milioni 5.7 wakati ule walioimba pamoja na Diamond una views takribani Milioni 14.
Innos’B anatokea mji wa Goma, nchini DR Congo. Akiwa na umri wa miaka 22 kwa sasa lakini ameshakua mwanamuzi Maarufu nchini Kongo na Dunia au Afrika nzima kwa sasa.
Toa maoni yako hapo chini
mkuu hili jukwaa halijadili haya mambo.....moderator fanyeni kuupeleka huu uzi kwenyw jukwaa lake
Hahah Labda POYE ndo RemixHivi iyo ngoma ya PO_YE imetoka lini kama sikosei ilitoka YO PE