Mjue Kanali Ali Mahfoudh

REKEBISHA KAMA ALIWEKWA KIZUIZIN MWAKA 1978 ALIACHIWAJE TENA MWAKA 1972? AMBAO NDIYO KARUME ALIUAWA?
 
Mama Naila Majid Jiddawi yupo na ingependeza waandishi wa habari wakafanya mahojiano naye juu ya mtu huyu maarufu barani Africa aliye mZanzibari na mtanzania Colonel Mahfoudh

 
Aliwekwa kizuizini halafu baadae anaonekana aliachiwa toka gerezani

Hili pia lirekebishwe kuweka kumbukumbu sawa, kuna tofauti ya kizuizi na gereza
 
His son too was quite a lookie. Mahfoudh Ali Mahfoudh. Very silly, so much fun to hang out with and had beautiful dogs way back like a decade ago.
Mmmh Kuna kitu hapa sio kwa hizo masifa ulizompatia. 😜😜
 
Mfumo Galatia noma...ha ha haaa! By the way mkuu, hii umeiandika mwenyewe au ni Sheikh Said Mohammed? Kama ni wewe hongera japo sifa zimezidi mno dah!
Sifa hazijazidi huyu jamaa alikuwa ni komandoo wa uhakika aliyekuwa trained Cuba (hata Wamarekani kwanza walidhani ni Wacuba - hiyo ni kwa mujibu wa de-classified reports za CIA). Kumbuka enzi zile hakikuwepo kikosi cha makomandoo. Na ndiyo maana Nyerere alimpeleka Msumbiji kwenda kusaidiana na Frelimo wakati wa ukombozi.
 
Mwanangu wa Kiume nitaweza kumpa jina la huyu mwamba
 
I know him.

Very good friend kipindi hicho tunalewa na ku party vibaya mno Zenji.
Kweli hizo ndio sifa zake...

Starehe tu kazi hataki kufanya..vivu..Toto la mama..

Anasumbua mama yake .balaa.... ..
 
Kweli hizo ndio sifa zake...

Starehe tu kazi hataki kufanya..vivu..Toto la mama..

Anasumbua mama yake .balaa.... ..
Hadi leo?

Tumepotezana but nikienda Zenji nitamtafuta.

I need good dogs.
 
Kumbe Best wewe watokea Zenji?
πŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈ
 
πŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈ
Kimbia taratibu...wengine tuna magonjwa ya kikubwa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…