moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,904
- 4,902
Kwa wale waliosoma History huyu ndiye Luteni Zachariah Hans Pope wa JWTZ alieshiriki Ktk jaribio la mapinduzi ya kumpindua baba wa Taifa mwl JK Nyerere 1982 akishirikiana na kina kapteni Eugene Maganga, Luteni vitalis Mapunda, Luteni Kajaji Badru, Captain Hatibu Gandhi(Hatty McGee), Luteni Mbogolo, Captain Christopher Kadego, Luteni Pius Lugangila.....maafisa usalama wakiongozwa na comandoo Mabere Nyaucho Marando waliwashambaratisha Kabla hawajawampindua Nyerere.....inasemekana baada ya kukamatwa (isipokuwa Pius Lugangila alietoroka) walipelekwa ikulu na Nyerere alimkabidhi Hans Pope bunduki amuue ile awe rais yy Kama alivohitaji, Hans Pope alilia machoz na kugaragara chini huku akiomba msamaha, Nyerere aliwasamehe lkn walifungwa jela maisha, Hans Pope akiwa Gereza kuu Butimba ndie alieanzisha ligi kuu Gerezani huku akiunda timu ya Simba ya Gerezani......waliachiwa 1995 Wkt rais Ally Hassan Mwinyi akimaliza muda wake......kumbuka Hans Pope babake ni Mgiriki na mamake ni Mhehe wa Ipogoro lringa....ndo maana amekuwa akiidhamini Lipuli FC....
NIMEWEKA HISTORIA SAWA[emoji1547][emoji1547][emoji1547]
NIMEWEKA HISTORIA SAWA[emoji1547][emoji1547][emoji1547]