moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,904
- 4,902
- Thread starter
-
- #21
Wivu huuSamahani huyo Komandoo Mabere Marando ndiyo huyu huyu ninayemjua Mimi au labda ni Mabere Marando wa Jimbo linalogombaniwa la Idlib huko nchini Syria? Halafu hapo kwamba alikuwa Luteni mara sijui Nyerere alimpa Pistol ampige ili awe Rais Yeye na akagalagala huku akilia machozi nitakuwa wa mwisho katika Kukuamini. Na mwisho tu niseme kwamba kupitia huu Uzi wako sasa nimeamini rasmi kwamba kumbe Mtunzi Mahiri wa Hadithi nchini Tanzania siyo tu ' Ngosha ' Erick Shigongo. Naomba niishie hapa tafadhali.
Wivu huu
Wivu huu
DaahSamahani huyo Komandoo Mabere Marando ndiyo huyu huyu ninayemjua Mimi au labda ni Mabere Marando wa Jimbo linalogombaniwa la Idlib huko nchini Syria? Halafu hapo kwamba alikuwa Luteni mara sijui Nyerere alimpa Pistol ampige ili awe Rais Yeye na akagalagala huku akilia machozi nitakuwa wa mwisho katika Kukuamini. Na mwisho tu niseme kwamba kupitia huu Uzi wako sasa nimeamini rasmi kwamba kumbe Mtunzi Mahiri wa Hadithi nchini Tanzania siyo tu ' Ngosha ' Erick Shigongo. Naomba niishie hapa tafadhali.
Acha uongo hakuwa mkuu wa mkoaBabake hans pope alikua mkuu wa mkoa wa kagera na aliuawa katika vita ya Kagera 1978. ukiangalia ile video ya vita vya kagera wamesimulia na wameonyesha mazishi yake maeneo ya makanyagio Iringa. Babake Hasn pope ndo alikua na asili ya kijerumani pamoja na uhehe
aliyemsimulia alikuwa hajanywa kahawa, hii stori itakuwa ya kistoni cha kahawaMkuu naungana na wewe mtoa habari amekrupuka.
Mijeshi ya sasa hvi misukule tu, inajiua kwa ajili ya mapenzi, alafu utegemee walifanyie kitu taifa!.Afadhali hao walitest mitambo tulio nao kwa sasa hata kupiga chafya tu ni shida.Pamoja na mauaji yote haya kimya wamejifunika blanket
Kwa wale waliosoma History huyu ndiye Luteni Zachariah Hans Pope wa JWTZ alieshiriki Ktk jaribio la mapinduzi ya kumpindua baba wa Taifa mwl JK Nyerere 1982 akishirikiana na kina kapteni Eugene Maganga, Luteni vitalis Mapunda, Luteni Kajaji Badru, Captain Hatibu Gandhi(Hatty McGee), Luteni Mbogolo, Captain Christopher Kadego, Luteni Pius Lugangila.....maafisa usalama wakiongozwa na comandoo Mabere Nyaucho Marando waliwashambaratisha Kabla hawajawampindua Nyerere.....inasemekana baada ya kukamatwa (isipokuwa Pius Lugangila alietoroka) walipelekwa ikulu na Nyerere alimkabidhi Hans Pope bunduki amuue ile awe rais yy Kama alivohitaji, Hans Pope alilia machoz na kugaragara chini huku akiomba msamaha, Nyerere aliwasamehe lkn walifungwa jela maisha, Hans Pope akiwa Gereza kuu Butimba ndie alieanzisha ligi kuu Gerezani huku akiunda timu ya Simba ya Gerezani......waliachiwa 1995 Wkt rais Ally Hassan Mwinyi akimaliza muda wake......kumbuka Hans Pope babake ni Mgiriki na mamake ni Mhehe wa Ipogoro lringa....ndo maana amekuwa akiidhamini Lipuli FC....
NIMEWEKA HISTORIA SAWA[emoji1547][emoji1547][emoji1547]View attachment 867402
Bahati ipi kaka nianze kabisa kufuraiaNaona jiwe anaendeleza uhasama wa kihistoria...... Anyway tusubiri tuone, huenda ikatokea bahati.
Sema sasa tulio lilifanyika wapi na nani aliepewa hio bunduki ni undezi kukanusha kitu bila kusema kile kilichofanyika
bora yeye katupa kwa kupindisha lakini cha ajabu wewe mbona haujaweka hiyo historia iliyonyoooka?
ngoja nisaidie babake Hans Pope alikuwa RPC miaka hiyo kagera ikiitwa west lake.naona wengi ni wapya hapa duniani.ila na sikia Hans eti kapitia holili anaelekea huko juu?Kila mtu anajifanya anajua
Ila hakuna wa kuandika kitu sahihi
Huyu kamkosoa yule na kumuita popoma ila hajamsahihisha
Mara huyu kasema hapana hakuwa mkuu wa mkoa ila ajasema alikuwa nani
Ilimradi fujo tu
Hadithi yako ina punje punje za ukweli lakini vile vile ina mengi ya kufikirika; wengine umewakosea hata majina yao; kwa mfano Badru Kajaja.Kwa wale waliosoma History huyu ndiye Luteni Zachariah Hans Pope wa JWTZ alieshiriki Ktk jaribio la mapinduzi ya kumpindua baba wa Taifa mwl JK Nyerere 1982 akishirikiana na kina kapteni Eugene Maganga, Luteni vitalis Mapunda, Luteni Kajaji Badru, Captain Hatibu Gandhi(Hatty McGee), Luteni Mbogolo, Captain Christopher Kadego, Luteni Pius Lugangila.....maafisa usalama wakiongozwa na comandoo Mabere Nyaucho Marando waliwashambaratisha Kabla hawajawampindua Nyerere.....inasemekana baada ya kukamatwa (isipokuwa Pius Lugangila alietoroka) walipelekwa ikulu na Nyerere alimkabidhi Hans Pope bunduki amuue ile awe rais yy Kama alivohitaji, Hans Pope alilia machoz na kugaragara chini huku akiomba msamaha, Nyerere aliwasamehe lkn walifungwa jela maisha, Hans Pope akiwa Gereza kuu Butimba ndie alieanzisha ligi kuu Gerezani huku akiunda timu ya Simba ya Gerezani......waliachiwa 1995 Wkt rais Ally Hassan Mwinyi akimaliza muda wake......kumbuka Hans Pope babake ni Mgiriki na mamake ni Mhehe wa Ipogoro lringa....ndo maana amekuwa akiidhamini Lipuli FC....
NIMEWEKA HISTORIA SAWA[emoji1547][emoji1547][emoji1547]View attachment 867402