Mjue Mfalme Constantine I wa Roma


Professor ungalituwekea ushahidi wa maneno yako
 
Ha ha ha
 
huyu ndo alibadili sabato kwenda jumapili
asante kwa kumbukumbu. asomaye na aelewe
Saa nyingine mpo kama machizi hivi, waislamu wametengeneza kalenda yao, nyinyi msivyo na akili mnatumia Gregorian calender ya Wakatoliki halafu mnawalani Wakatoliki.

Tengenezeni na nyinyi kalenda yenu, waislamu wametengeneza ya kwao, Wachina wana kalenda yao na Waethiopia wana kalenda yao, kwa nini wasabato msitengeneze kalenda yenu ioneshe sabato ni lini?
 
Tukiona kuna ulazima wa kutengeneza kalenda yetu tutatengeneza
kwa sasa iliyopo inatufaa
 
Watoto wa 2000 hamna adabu shit🤣🤣kwnge ww
Ila wewe umefeli sana, hukutawala hata kijiji chenu. Bogus kabisa.
 
Huyu ndiye kaiweka Biblia kama ilivyo katika Council of Nicea 325 AD.
 
Em tafuta nyumba anayoishi mvaa makobazi afu mwambie akuoneshe kalenda yao ya kigaidi gaidi kama utaikuta
Lakini atleast wanayo kalenda yao, Wasabato wana kalenda yao?

Si wanajibanza humu kwenye Gregorian calender halafu wanaleta ujuwaji?
 
Ushahidi upi unaotaka au kuhusu nini?

1: Kwamba uislamu ulianzishwa na wakatoliki


2: Lakini kama una nia ya kujifunza na kuupata ukweli ni Ukristo ndio ulimuinfluence Muhammad kuwa hivyo hasa baada ya kuchanganya dini na siasa, Wakristo walikuwa na jeshi lililofanya mauwaji sana rejea crusade.

Unachokiona kwa Islamic state leo ni cooy and paste ya crusaders miaka hiyo.
 
Madhara ya Quran ni haya, waandishi wa Quran walishindwa kuandika kwa mtiririko unaopaswa nyuma mbele, mbele nyuma, ndio maana hata nikueleweshe mara 1000 hutokaa unielewe
 
Madhara ya Quran ni haya, waandishi wa Quran walishindwa kuandika kwa mtiririko unaopaswa nyuma mbele, mbele nyuma, ndio maana hata nikueleweshe mara 1000 hutokaa unielewe

Sijakuuliza madhara ya Qurani wala kunielewesha Mr / Mrs , Professor

Nilitaka ushahidi tu ya haya maneno yako

Maswali ni haya

Lete ushahidi



1: Kwamba uislamu ulianzishwa na wakatoliki


2: Lakini kama una nia ya kujifunza na kuupata ukweli ni Ukristo ndio ulimuinfluence Muhammad kuwa hivyo hasa baada ya kuchanganya dini na siasa, Wakristo walikuwa na jeshi lililofanya mauwaji sana rejea crusade.

Unachokiona kwa Islamic state leo ni cooy and paste ya crusaders miaka hiyo.
 
 
Ok
 
Aliupokea ukristu kwa nia ya kufanya biashara na si vingenevyo
 
🤔🤔🤔🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…