Mjue mkuu wa upelelezi wa zamani(Patrick Karegeya) na nani nyuma ya kifo chake?


MKUU hii ni Riport makini sana Swali, inakuwaje rahisi kuyajua NJE kuliko ya humu nchini?
 
Kagame ni intelligent on mauaji yalivo professional ha ha ni noma

Mauaji professional hayaachagi TRACE ila cjui kagame anaringia hicho cheo cha uRAIS? ila Africa cc tuna ROHO MBAYA sana!
 
Tanzania ni kiboko kwa Intellegensia, yaani wameweza kufuatilia mauaji ya karegeya lakini wameshindwa kufuatilia mauaji ya Mwaipopo

Namm nimeuliza pia kwann inakuwa Rahis kuyajua ya NJE ya NCH kuliko ya kwe2? au ni SIASA ndo zinaharibu Taaluma!
 

Asprin says thank you de'levis for this useful post.
 
Last edited by a moderator:
Watakutana tu siku moja huko makaburini
 

Dah hii intelligence report kama ina ukweli flani.
 
Blaza wewe ni nani vile pale Tz intelligence,
Inner onion eh,
Respect mzee
 
yai jamaa ku google ndo amekuwa TISS?

cc ndo wabongo mkuu,tumezoea kulishwa kila ktu.hii issue ipo ktk mitandao.uki-google tu unashushiwa link kibao.juhudi kubwa aliyo fanya de'levis ni kuitafsiri frm english to swahili na kuiweka hapa.tusimbeze tumpongeze.binafsi nina sababu za kuamni jamaa ni TISS kweli tena wa kiwango cha juu.pitia baadhi ya post zake ktk thread alizo wahi changia.
 
Last edited by a moderator:

ukitaka kujua details vizuri za mpango mzima google ikaze iwacu a letter from north,pia kuna habari kuwa suspect watatu wamekamatwa msumbiji
 
ukitaka
kujua details vizuri
za mpango mzima google ikaze iwacu a letter from north,pia kuna habari
kuwa suspect watatu wamekamatwa msumbiji

Kama kuna ukweli vile, hebu wengine wapitie, tafadhali tazama
hapa:-
http://ikazeiwacu.unblog.fr/2014/01/02/letter-from-the-north-dictator-paul-kagames-death-squad-kills-patrick-karegeya/
 
naamini kweli kagame intelligency yake hapa tz kama yuko uchi tu japo anahisi kajificha

yule President huakisiwa kwa mebgi sana, ingawa kuna kipindi alikuwa anasifiwa sana.
 
Sure. Ni uvivu wa kusoma vitu mtandaoni. In fact de Levis ameripoti 'stori' kama ilivyoandikwa ktk The Citizens na hata gazeti la The Guardian la South Africa. Hakuna inteligence yoyote hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…