Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Wanangu hamjamboni? Leo tujikumbushe mambo ya kizamani kidogo hasa wapenzi wa reggae kama mimi baba yenu. Japo marehemu Bob Marley aliufanya wimbo wa buffalo soldier maarufu, mtunzi wake ni Giddes Charamanda toka Malawi. SIkiliza hiyo kitu utajua na kuamini ninachowambia baba yenu.
1983Ni lini aliimba huo wimbo??
Mwaka 1978 wakati Marley aliutoa mwaka 1983.Ni lini aliimba huo wimbo??
Mwaka 1978 wakati Marley aliutoa mwaka 1983.
Wapi hii habari imekuwa documented?Mwaka 1978 wakati Marley aliutoa mwaka 1983.