Mjue mzee aliyetabiri kuja kwa wakoloni na utawala

Kwa utabiri huo kiongozi wa ghasia ana sifa tatu

1. Hamjui Nyerere kwa maana hana mtazamo au unasaba au mapenzi na Nyerere.

2. Atakua na alama ya mkuki.

3. Atatoka Magharibi
1. Nitakuwa nimeelewa mnakoelekea ila nasubiri basi lianze safari ili nijue abiria tuko wangapi

2. Hapa naona kama tunapotezwa fulani hivi ili tusiweze kuunganisha 1 na 3.

3. Hapa anazungumzia mtu ambaye pengine ni mtu ila sio binadamu au vice versa.

Kama na mimi nimechanganya changanya mambo, basi ndio lengo lenyewe.
 
Mkuu..magharibi ndio wapi..Chato au
Mama yangu ni Mtimba nitaenda kumuuliza.

Ila jina la mjee ni maarufu sana
Utasikia tu yego mjee uliowao owaikamo atiki๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mkuu..magharibi ndio wapi..Chato au
Mama yangu ni Mtimba nitaenda kumuuliza.

Ila jina la mjee ni maarufu sana
Utasikia tu yego mjee uliowao owaikamo atiki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
The tell says Magharibi. Na haisemi magharibi direct inasema juwa linakozamia ukiwa majita juma linazamia wapi hiyo ni issue ingine. Sitaki kutafasiri
 
mimi si kijana kama unavofikiri nina miaka 55 kwa sasa bado miaka 5 nastaafu,niliyoyaandika ni kweli tupu niliyosimuliwa MAJJITA MUSOMA,tafuta ukweli uu kwa watu wa Musoma
 
Mkuu..magharibi ndio wapi..Chato au
Mama yangu ni Mtimba nitaenda kumuuliza.

Ila jina la mjee ni maarufu sana
Utasikia tu yego mjee uliowao owaikamo atiki๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
kuna watu wabishi humu nd yangu VON,mimi nilikaa huko nikapenda kujua maana ya mjee ndo hayo pi yakaibuka
 
Uliyoyasema ni kweli lakini uhakika ni kuwa . Kwa lugha ya kikerewe neno Obhugwa manake machweo Yani jua linapozamia atatoka kiongozi .(omukama wa katanu)Yani kiongozi wa tano ambae ujio wake ni kwa ajili ya (KUGOLOLA)Kunyoosha , maanake atakuta nchi imehalibika . Sasa kwa yatokeayo Sasa ivi sisi wazee tilijua Mana yalishatabiliwa . Impact za Kunyoosha mmeziona, kwa mawazo yangu Mheshimiwa aliopo anatengenezea mazingira mazuli kwa tawala zijazo. Huyu anatengeneza njia ili nchi badae ipate maendeleo. Hayo ni mawazo yangu kutokana na utabili ujao. Kuna siku ntaeleza zaid
 


Analysis yako inafikirisha Chief! Mno.....
 


Mmezidi kunichanganya....ila ahsante, ni njia katika kuelewa pia!

Binafsi nawafahamu kina Mjee/Mzee wengi (ndugu asilimia 90) inaleta fikra zaidi......
 
Wenzetu wazungu mambo kama haya wazee wao waliyaandika
 
Vijana hebu punguzeni kula makande usiku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ