Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Nilisikia wanaua binadamuSamaki kwa jina Jellyfish Turritopsis dohrnii hana ubongo na moyo na anadhaniwa kuwa kiumbe pekee asiyeweza kufa duniani; ainaishi katika maji ya kitropiki.
Kama wanasayansi walivyothibitisha, jellyfish hawafi kwa uzee kwani huishi hadi umri fulani kisha wanaanza kuwa wadogo na kurudi kwenye hatua yao ya asili.
Na kutoka hatua hiyo ya kuwa mchanga , anaanza tena kukua. Kwa bahati nzuri, hakuna kikomo kwa idadi ya nyakati ambazo wanaweza kufanya hivyo! Kwa hivyo, kiumbe huki kinaweza kuishi idadi isiyo na kipimo .
View attachment 1947027
Inamana mamba wanaishia ujanani tu, hizo fix ipo mimamba imekomaa magamba had kutembea shida.Hata mamba nasikia hazeeki.
Anasumbuka kutembea sababu ya unene, siyo uzee. Mamba hazeeki.Inamana mamba wanaishia ujanani tu, hizo fix ipo mimamba imekomaa magamba had kutembea shida.
Anzisha uzi wa Mamba.Hata mamba nasikia hazeeki.
Wewe na nani?Anzisha uzi wa Mamba.
Hapa tunajadili Jellyfish
Kufa kupo palepale.Madokta wetu wamchukue, watengeneze dawa ya kuzuia kufa