Aisee hata dawa za sumbawanga hazina majina ya hivyoHujasikia?? Slim thick leilah
Huyu mrembo wa kitanzania maarufu sana kule instagram kwa muonekano wake nadiriki kusema ndo mwanamke mwenye shepu bomba kuliko wote Africa..sitaki kuongea mengi picha zinafuataView attachment 1070313View attachment 1070315View attachment 1070316View attachment 1070317View attachment 1070318View attachment 1070319
Kama vipi tuwekeni mgomo mpaka waurudishe uzi wetu pendwa.
Mwanamke mzur dunian ni posh queen tu,usipompenda umbo utampenda kitumbua,usipompenda kitumbua utampenda suraNdiyo wanaitwa sales and marketing? Dogo shape umeiona lakini? Ya Afrika nzim[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke mzur dunian ni poshy queen tuNi kweli mimi sina shepu lakini huyo dada hapana[emoji15][emoji15] hiyo Africa nzima ni ipi?
Mkuu bado wapo wabishi watakukatalia....wakina Baby Doll watakwambia ni wakali sanchoka akasomeMwanamke mzur dunian ni posh queen tu,usipompenda umbo utampenda kitumbua,usipompenda kitumbua utampenda sura
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaahHicho kiuno mmh kidogo mnoo, kama ndyo kiuno nyigu, basi huyo ni nyigu anayeumwa yani kakondaa[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app