Utakua unaripoti kutoka China nadhaniHuyu mrembo wa kitanzania maarufu sana kule instagram kwa muonekano wake nadiriki kusema ndo mwanamke mwenye shepu bomba kuliko wote Africa..sitaki kuongea mengi picha zinafuataView attachment 1070313View attachment 1070315View attachment 1070316View attachment 1070317View attachment 1070318View attachment 1070319
Wakitoa ushuhuda watu wanne nitaamini
Mimi si mgeni mkuu,huyu demu si mzuri sana wa sura but ana shape bomba sana...nitajie demu gani bongo maarufu ana shape kali kumzidi...
Toka iwambi uje mujiniHahaaaah wapi?
Tuma ww acha uchoyo. Hata picha tu watu wapige hata nye__Yes nina shape nzuri sana, na mwanamke stara siwezi kukutumia picha yangu maana sijiuzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu labda anagawa socket uzuri hauuzwi huhifadhiwaAnauza utamu dogo.
Nikimuona mwanamke mwenye kitambi wadudu huwa wananitembea kichwaniHahahahaahH wenye vitambi jaman tugongeane tu likes [emoji23][emoji23][emoji23][emoji57]
ababaha una matusi ya reja reja sana aiserNikimuona mwanamke mwenye kitambi wadudu huwa wananitembea kichwani
.
Mwambie poshy queen.inamana hamjui poshy queen mtoa mada...ndie mwanamke mzur dunian,agaahr u serious ww...khaa!
Naunga mkono hoja,na pia nasemajeMaendeleo hayana chama
Hivi wewe umechaganyikiwa!!!!!!!!? Hamfikiii hata nyangele wangu!!Huyu mrembo wa kitanzania maarufu sana kule instagram kwa muonekano wake nadiriki kusema ndo mwanamke mwenye shepu bomba kuliko wote Africa..sitaki kuongea mengi picha zinafuataView attachment 1070313View attachment 1070315View attachment 1070316View attachment 1070317View attachment 1070318View attachment 1070319