Mkuu tusibishane...weka picha ya mrembo anayemfunika tuone
Baharia unatumia fursa ipasavyo!Dah!!...kwani ugumu unatoka wapi mimi kula kwa kutumia kitu kingine tofauti na macho Baby Nimah?
[emoji23][emoji23]
"Enough of No Love"
Daah ...huu uchokozi sasa 😂 😂
Mkuu umetudharirisha sana mabaharia inamaana hcho kijishep ndo unakuja kufungua uzi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mrembo wa kitanzania maarufu sana kule instagram kwa muonekano wake nadiriki kusema ndo mwanamke mwenye shepu bomba kuliko wote Africa..sitaki kuongea mengi picha zinafuataView attachment 1070313View attachment 1070315View attachment 1070316View attachment 1070317View attachment 1070318View attachment 1070319