Duuh aiseeMkuu pole hujawahi kupata au kukutana na mademu wenye shepu kushinda huyo....huyo demu ukikutana nae live sio kama kwenye picha wanaedit sana..
Halafu hicho kinauza..mfate DM kwenye insta yake muulize bei yake uone atakavyokutajia haraka.
Tutajie basi mmoja unayemfahamu anayemzidi huyo shapemkuu unaishi kijiji gani ambacho hujawahi ona wanawake wenye shepu mara mia ya huyo binti.
"THE ONE WHO NEVER TRAVEL CLAIMS THAT HER MOTHER IS THE BEST COOK"
Sent using Jamii Forums mobile app
wanafanyiwa operations ya kuondoa mbavu ilikutengeneza kiuno hiko ndicho kinakupagawisha.Mgonjwa wa nini
Anatofauti gani na nandy michupi?Huyu mrembo wa kitanzania maarufu sana kule instagram kwa muonekano wake nadiriki kusema ndo mwanamke mwenye shepu bomba kuliko wote Africa..sitaki kuongea mengi picha zinafuataView attachment 1070313View attachment 1070315View attachment 1070316View attachment 1070317View attachment 1070318View attachment 1070319
Ok..labda kweli mkuu..una uhakika huyo naye kafanyiwawanafanyiwa operations ya kuondoa mbavu ilikutengeneza kiuno hiko ndicho kinakupagawisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka tangazo lolote analotangaza biashara..msipende kuchafua watu
Hahaha msamehe bure hajawahi kukutana na mishape ta balaaa hatari lakini salamaa