Mjue tapeli aliyekubuhu John Alex

Mjue tapeli aliyekubuhu John Alex

Rwabugiri

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2007
Posts
2,774
Reaction score
215
Nimesimuliwa na jamaa yangu ambaye ni mmoja wa wahanga wa tapeli huyu!

Huyu jamaa Jonh Alex ana vijiduka vitatu ambavyo hujifanya anauza vifaa vya ujenzi kutengeneza computer pamoja na mabati. maduka yako sehemu ya Kinondoni, Mbezi beach karibu na mateoclub opposite na njia ya kwenda St. marys, pamoja na bunju. Kaandika nembo nzuri kabisa Jonh Alex Enterprises. Anacho fanya ni kukusanya order ya vifaa hivyo na down payment baada ya hapo hulala mbele. Wanao lizwa sana sana ni hasa wale wanao taka mabati ya South africa (aka. mabati ya Ando') kwani huchukuliwa kwa order.

Mshtuko mkubwa alo upata jamaa yangu baada ya kugundua kwamba jamaa anamzengua alipo enda polisi ni pale alipo kuta kila polisi akimfahamu fika huyo jamaa kwamba ni tapeli aliye kubuhu, ana kesi zaidi ya nne mahakamani, na alisha wahi kumtapeli hadi afande Tibaigana! kwahiyo jamaa yangu aliishia kuambiwa Pole na polisi kwamba ndo umeisha lizwa! na kwa maelezo yake ni kwamba pale polisi anafahamika kama vile ndo nyumbani kwake!

Nikiwa nakupa onyo ndugu unaye soma hapa usije lizwa kama jamaa yangu, nabaki kushangaa hivi inawezekanaje jamaa tapeli anaye sumbua jamii polisi wote wanamjua lakini anaendelea kupeta mtaani na kuendelea sumbua jamii kwa kuwaibia vipesa vyao wanavyo vihangaikia na pengine kuwa wamevikopa?

Hivi yawezekana Tanzania hii hii mtu anaweza amua tunisha kifua akaishi juu ya sheria akiendelea wanyanyasa raia wenzake ili hali vyombo vya usalama vikimjua fika?
 
Last edited:
Nimesimuliwa na jamaa yangu ambaye ni mmoja wa wahanga wa taperi huyu!

Huyu jamaa Jonh Alex ana vijiduka vitatu ambavyo hujifanya anauza vifaa vya ujenzi kutengeneza computer pamoja na mabati. maduka yako sehemu ya Kinondoni, Mbezi beach karibu na mateoclub opposite na njia ya kwenda St. marys, pamoja na bunju. Kaandika nembo nzuri kabisa Jonh Alex Enterprises. Anacho fanya ni kukusanya order ya vifaa hivyo na down payment baada ya hapo hulala mbele. Wanao lizwa sana sana ni hasa wale wanao taka mabati ya South africa (aka. mabati ya Ando') kwani huchukuliwa kwa order.

Mshtuko mkubwa alo upata jamaa yangu baada ya kugundua kwamba jamaa anamzengua alipo enda polisi ni pale alipo kuta kila polisi akimfahamu fika huyo jamaa kwamba ni taperi aliye kubuhu, ana kesi zaidi ya nne mahakamani, na alisha wahi kumtapeli hadi afande Tibaigana! kwahiyo jamaa yangu aliishia kuambiwa Pole na polisi kwamba ndo umeisha lizwa! na kwa maelezo yake ni kwamba pale polisi anafahamika kama vile ndo nyumbani kwake!

Nikiwa nakupa onyo ndugu unaye soma hapa usije lizwa kama jamaa yangu, nabaki kushangaa hivi inawezekanaje jamaa taperi anaye sumbua jamii polisi wote wanamjua lakini anaendelea kupeta mtaani na kuendelea sumbua jamii kwa kuwaibia vipesa vyao wanavyo vihangaikia na pengine kuwa wamevikopa?

Hivi yawezekana Tanzania hii hii mtu anaweza amua tunisha kifua akaishi juu ya sheria akiendelea wanyanyasa raia wenzake ili hali vyombo vya usalama vikimjua fika?

Mkuu Rwabugiri, neno sahihi ni TAPELI na si TAPERI....Be blessed mkuu
 
Ni rahisi kuleta taarifa hapa ya kusema bwana John Alex ni tapeli lakini ni vigumu kuleta uthibitisho pasi na shaka (beyond reasonable doubt) kwamba mtu huyu kweli ni tapeli.naogopa kuleta mambo ya kumchafua mtu na biashara yake kama hakuna uthibitisho wa kutosha wa haya madai. Naamini kama huyu mtu alifikia hatua ya kumtapeli kamanda wa polisi wa kanda malumu basi asingeachwa aendelee kufanya utapeli wake tena! kidogo hii hainiingii akilini.
 
Ni rahisi kuleta taarifa hapa ya kusema bwana John Alex ni tapeli lakini ni vigumu kuleta uthibitisho pasi na shaka (beyond reasonable doubt) kwamba mtu huyu kweli ni tapeli.naogopa kuleta mambo ya kumchafua mtu na biashara yake kama hakuna uthibitisho wa kutosha wa haya madai. Naamini kama huyu mtu alifikia hatua ya kumtapeli kamanda wa polisi wa kanda malumu basi asingeachwa aendelee kufanya utapeli wake tena! kidogo hii hainiingii akilini.

Hiyo story aliyotoa Rwabugiri si ndio ushaidi wake kuhusu hicho anachokisema au ulitaka akuwekee video hapa inayoonyesha jamaa yake akitapeliwa?
 
Ni rahisi kuleta taarifa hapa ya kusema bwana John Alex ni tapeli lakini ni vigumu kuleta uthibitisho pasi na shaka (beyond reasonable doubt) kwamba mtu huyu kweli ni tapeli.naogopa kuleta mambo ya kumchafua mtu na biashara yake kama hakuna uthibitisho wa kutosha wa haya madai. Naamini kama huyu mtu alifikia hatua ya kumtapeli kamanda wa polisi wa kanda malumu basi asingeachwa aendelee kufanya utapeli wake tena! kidogo hii hainiingii akilini.

Mkuu Kinyamana ni hiari yako kutoamini mada hii,
Lakini ukweli ni kwamba binafsi hata John simfahamu wala sina faida yoyote ya kumchafua hapa!, Nimeleta habari hii kwa nia njema ya kujuvyana kama kawaida yetu ili na nyie wenzangu msije ingizwa mjini kama jamaa yangu. Hata hivo wana bodi naamini wapo wengi wenye uwezo wa kufika maeneo ya polisi Kawe, tafadhali ulizieni stori hii huko kwani jamaa yangu kanihakikishia kwamba pale anajulikana kama vile ni nyumbani kwao, na wanajua habari yote ya utapeli wake!

Na hata wanao weza fika maeneo ya Kinondoni na mbezi kwenye maduka yake ukiongea na majirani wema watakueleza ukweli wote juu ya tapeli huyu.

Lakini pia kanipatia hadi namba yake (John) ya simu kama mna ihitaji naweza wawekeeni hapa ama ni PM nitakutumia ili kama waweza kuwa mpelelezi mzuri waweza ongea na kumuuliza habari zote hizi na hata kesi kibao alizo nazo mahakamani.

tafadhali wanao weza fika maeneo hayo kupata data zaidi juu ya huyu jamaa zimwageni hapa ili tusaidiane kujua ukweli huu na kujihadhari naye. Lakini pia wanasheria saidieni ni kwa vipi mtu kama huyu aweza dhibitiwa ili asiendelee inyanyasa jamii.
 
Ni rahisi kuleta taarifa hapa ya kusema bwana John Alex ni tapeli lakini ni vigumu kuleta uthibitisho pasi na shaka (beyond reasonable doubt) kwamba mtu huyu kweli ni tapeli.naogopa kuleta mambo ya kumchafua mtu na biashara yake kama hakuna uthibitisho wa kutosha wa haya madai. Naamini kama huyu mtu alifikia hatua ya kumtapeli kamanda wa polisi wa kanda malumu basi asingeachwa aendelee kufanya utapeli wake tena! kidogo hii hainiingii akilini.

Mkuu Kinyamana, hujalizwa weye.Nenda pale Kinondoni karibu na Biafra sehemu yoyote ukiona vigae vinauzwa, muulizie huyu jamaa na utampata.Ukitaka utibitisha muagize vifaa vyovyote vya kuezeka na utaupata uthibitisho unaouhitaji.
Tumshukuru Mkuu Rwabugiri,John Alex ,ni tapeli wa siku nyingi sana mjini hapa.
 
Nafikiri kuna umuhimu wa kuanzisha kajigazeti/journal katako orodhesha makampuni, pamoja na wahusika wakuu, ambayo yanahusika katika biashara za kitapeli.

Itasaidia wateja kupata fursa ya kupitia kigazeti hiki kabla ya kushiriki kwenye mkataba na makampuni yoyote - iwe ya ujenzi, uhandisi, ukandarasi, fundi umeme, n.k.

Nafikiria kitu kama Better Bureau Business (bbb.com), ambapo watu mbalimbali watapata fursa ya kuripoti makampuni (na contact zao) ya kitapeli yaliyowahi kuwatapeli kwa namna fulani.
 
Nafikiri kuna umuhimu wa kuanzisha kajigazeti/journal katako orodhesha makampuni, pamoja na wahusika wakuu, ambayo yanahusika katika biashara za kitapeli.

Itasaidia wateja kupata fursa ya kupitia kigazeti hiki kabla ya kushiriki kwenye mkataba na makampuni yoyote - iwe ya ujenzi, uhandisi, ukandarasi, fundi umeme, n.k.

Nafikiria kitu kama Better Bureau Business (bbb.com), ambapo watu mbalimbali watapata fursa ya kuripoti makampuni (na contact zao) ya kitapeli yaliyowahi kuwatapeli kwa namna fulani.

Wakati wa kuripotiwa lazima kuwa na ushahidi wa kutosha ili kusiwe na uwezekano wa sabotafe btn businesses.
 
Mkuu Kinyamana, hujalizwa weye.Nenda pale Kinondoni karibu na Biafra sehemu yoyote ukiona vigae vinauzwa, muulizie huyu jamaa na utampata.Ukitaka utibitisha muagize vifaa vyovyote vya kuezeka na utaupata uthibitisho unaouhitaji.
Tumshukuru Mkuu Rwabugiri,John Alex ,ni tapeli wa siku nyingi sana mjini hapa.

Mkuu Gwakisa asante kuwa shuhuda, nawasihi na wengine wenye data zake zileteni jamaa huyu anatisha, huyo jamaa yangu kanieleza kwamba pia anatembea na mguu wa kuku ambao anadhani anaumiliki kihalali kwani akikamatwa na polisi huwa anausalimisha kwanza! na anasema yuko smart muda wote na ukimuona huwezi amini, mbaya zaidi anadai eti hata mkewe anashiriki katika biashara hiyo chafu katika mojawapo ya viduka vyake, huyo mama hukaa na kupokea order na kuchukua hiyo down payment!

Kuanzisha hicho kijarida ni jambo jema japo ndo hivo utata utakuja kwa kutaka udhibitisho wa kutosha wa jinsi gani ulitapeliwa, na kama ujuavyo hiyo yaweza leta uhasama pia katika jamii hasa ukizingatia kwamba vyombo vyetu vya dola ndo hivo vinamjua fika tapeli anaye tesa watu na vinabakia kumuhadithia ( kama simulizi kwamba alisha mliza na huyu na yule nayule kama hadithi) na kutoa pole kwa walio tapeliwa naye!
 
Nimesimuliwa na jamaa yangu ambaye ni mmoja wa wahanga wa tapeli huyu!

Huyu jamaa Jonh Alex ana vijiduka vitatu ambavyo hujifanya anauza vifaa vya ujenzi kutengeneza computer pamoja na mabati. maduka yako sehemu ya Kinondoni, Mbezi beach karibu na mateoclub opposite na njia ya kwenda St. marys, pamoja na bunju. Kaandika nembo nzuri kabisa Jonh Alex Enterprises. Anacho fanya ni kukusanya order ya vifaa hivyo na down payment baada ya hapo hulala mbele. Wanao lizwa sana sana ni hasa wale wanao taka mabati ya South africa (aka. mabati ya Ando') kwani huchukuliwa kwa order.

Mshtuko mkubwa alo upata jamaa yangu baada ya kugundua kwamba jamaa anamzengua alipo enda polisi ni pale alipo kuta kila polisi akimfahamu fika huyo jamaa kwamba ni tapeli aliye kubuhu, ana kesi zaidi ya nne mahakamani, na alisha wahi kumtapeli hadi afande Tibaigana! kwahiyo jamaa yangu aliishia kuambiwa Pole na polisi kwamba ndo umeisha lizwa! na kwa maelezo yake ni kwamba pale polisi anafahamika kama vile ndo nyumbani kwake!
Nikiwa nakupa onyo ndugu unaye soma hapa usije lizwa kama jamaa yangu, nabaki kushangaa hivi inawezekanaje jamaa tapeli anaye sumbua jamii polisi wote wanamjua lakini anaendelea kupeta mtaani na kuendelea sumbua jamii kwa kuwaibia vipesa vyao wanavyo vihangaikia na pengine kuwa wamevikopa?

Hivi yawezekana Tanzania hii hii mtu anaweza amua tunisha kifua akaishi juu ya sheria akiendelea wanyanyasa raia wenzake ili hali vyombo vya usalama vikimjua fika?[/QUOTE]

Huo ni udhaifu mkubwa na wa aina yake kwa polisi wetu, sijui Mr Publicity (KOVA) anayajua hayo, sio anaishia kumkamata kibaka mmoja tu wa simu anakimbilia kwenye TV stations na kujigamba, akiambiwa udhaifu wa vijana wake anaishia kuwatetea, oooh ni wazuri kama wapo basi ni wachache tu AIBU hao wachache wanatosha kabisa kuendeleza libeneke la ujambazi.

anayetaka ushahidi kama hajaridhika apeleke vingawira vyake vya FINCA atapata ushahidi
 
Ni rahisi kuleta taarifa hapa ya kusema bwana John Alex ni tapeli lakini ni vigumu kuleta uthibitisho pasi na shaka (beyond reasonable doubt) kwamba mtu huyu kweli ni tapeli.naogopa kuleta mambo ya kumchafua mtu na biashara yake kama hakuna uthibitisho wa kutosha wa haya madai. Naamini kama huyu mtu alifikia hatua ya kumtapeli kamanda wa polisi wa kanda malumu basi asingeachwa aendelee kufanya utapeli wake tena! kidogo hii hainiingii akilini.

Unataka ushahidi? Kampe advance ya kununua mabati ya Ando halafu utuletee feedback hapa au kaulize polisi Kawe kama ulivyoambiwa.
 
Back
Top Bottom