Nimesimuliwa na jamaa yangu ambaye ni mmoja wa wahanga wa tapeli huyu!
Huyu jamaa Jonh Alex ana vijiduka vitatu ambavyo hujifanya anauza vifaa vya ujenzi kutengeneza computer pamoja na mabati. maduka yako sehemu ya Kinondoni, Mbezi beach karibu na mateoclub opposite na njia ya kwenda St. marys, pamoja na bunju. Kaandika nembo nzuri kabisa Jonh Alex Enterprises. Anacho fanya ni kukusanya order ya vifaa hivyo na down payment baada ya hapo hulala mbele. Wanao lizwa sana sana ni hasa wale wanao taka mabati ya South africa (aka. mabati ya Ando') kwani huchukuliwa kwa order.
Mshtuko mkubwa alo upata jamaa yangu baada ya kugundua kwamba jamaa anamzengua alipo enda polisi ni pale alipo kuta kila polisi akimfahamu fika huyo jamaa kwamba ni tapeli aliye kubuhu, ana kesi zaidi ya nne mahakamani, na alisha wahi kumtapeli hadi afande Tibaigana! kwahiyo jamaa yangu aliishia kuambiwa Pole na polisi kwamba ndo umeisha lizwa! na kwa maelezo yake ni kwamba pale polisi anafahamika kama vile ndo nyumbani kwake!
Nikiwa nakupa onyo ndugu unaye soma hapa usije lizwa kama jamaa yangu, nabaki kushangaa hivi inawezekanaje jamaa tapeli anaye sumbua jamii polisi wote wanamjua lakini anaendelea kupeta mtaani na kuendelea sumbua jamii kwa kuwaibia vipesa vyao wanavyo vihangaikia na pengine kuwa wamevikopa?
Hivi yawezekana Tanzania hii hii mtu anaweza amua tunisha kifua akaishi juu ya sheria akiendelea wanyanyasa raia wenzake ili hali vyombo vya usalama vikimjua fika?
Huyu jamaa Jonh Alex ana vijiduka vitatu ambavyo hujifanya anauza vifaa vya ujenzi kutengeneza computer pamoja na mabati. maduka yako sehemu ya Kinondoni, Mbezi beach karibu na mateoclub opposite na njia ya kwenda St. marys, pamoja na bunju. Kaandika nembo nzuri kabisa Jonh Alex Enterprises. Anacho fanya ni kukusanya order ya vifaa hivyo na down payment baada ya hapo hulala mbele. Wanao lizwa sana sana ni hasa wale wanao taka mabati ya South africa (aka. mabati ya Ando') kwani huchukuliwa kwa order.
Mshtuko mkubwa alo upata jamaa yangu baada ya kugundua kwamba jamaa anamzengua alipo enda polisi ni pale alipo kuta kila polisi akimfahamu fika huyo jamaa kwamba ni tapeli aliye kubuhu, ana kesi zaidi ya nne mahakamani, na alisha wahi kumtapeli hadi afande Tibaigana! kwahiyo jamaa yangu aliishia kuambiwa Pole na polisi kwamba ndo umeisha lizwa! na kwa maelezo yake ni kwamba pale polisi anafahamika kama vile ndo nyumbani kwake!
Nikiwa nakupa onyo ndugu unaye soma hapa usije lizwa kama jamaa yangu, nabaki kushangaa hivi inawezekanaje jamaa tapeli anaye sumbua jamii polisi wote wanamjua lakini anaendelea kupeta mtaani na kuendelea sumbua jamii kwa kuwaibia vipesa vyao wanavyo vihangaikia na pengine kuwa wamevikopa?
Hivi yawezekana Tanzania hii hii mtu anaweza amua tunisha kifua akaishi juu ya sheria akiendelea wanyanyasa raia wenzake ili hali vyombo vya usalama vikimjua fika?
Last edited: