Thomas John Brokaw ni mwandishi wa televisheni wa Amerika , anayejulikana zaidi kwa kuwa mchapishaji na mhariri mkuu wa NBC Nightly News kwa miaka 22. Yeye ndiye mtu pekee aliyekaribisha programu zote kuu za NBC News.na pia ndiye aliye tangaza Ukuta wa Berlin ulianguka miaka 30 iliyopita, mnamo Novemba 9, 1989.
Mkuu siku nyingine ukitaka kuandika jambo kama hili ingia deep tufahamu kama ulivyotaka tumfahamu.Hapa bado sijamfahamu huyu nguli zaidi ya jina na kituo chake cha kazi.