Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
Anaitwa Tony alexander Adam, amezaliwa tar 10 oct 1966 katika kitongoji cha ROMFORD, ENGLAND
alianza kucheza Soka katika academy ya arsenal 1980-83 ilipofika mwaka 1983 alipandisha Timu ya wakubwa Kama beki wa kati,
Akiwa timu ya wakubwa alionesha uwezo mkubwa huku akiisaidia Arsenal kutwaa UBINGWA WA FIRST DIVISION CHAMPIONSHIP mara mbili msimu wa 1988 na msimu wa 1991.
Anatajwa katika orodha ya WACHEZAJI BORA 100 WA SOKA BORA WA MUDA WOTE,
Akiwa Arsenal alikuwa Mlevi sana, na rafiki ya Ray parlour, wote wanatokea Kitongoji cha ROMFORD
Kutokana na kukithiri kwa tabia za ulevi katika klabu ya arsenal kulisababisha Timu kufanya vibaya, huku kwa kipind hicho wakiambulia MATAJI ya league cup na UEFA WINNERS CUP mwaka 1993, hii ilipelekea mwaka 1995 kocha Graham kufukuzwa.
Mwaka 1996 alikuja mzee ARSENE WENGER ambaye aliwabadilisha mienendo ya maisha ya wachezaji wengi walevi wa Arsenal akiwepo TONY ADAM, na RAY PARLOUR, LE DIXON, NIGEL WINTERBURN aliwabadilishia life style kuanzia mazoez had Lishe,
Walibadilika walipigana kufa na kupona na mwaka huo huo walitwaa DOUBLE (FA CUP & EPL) msimu wa 1997/1998
Huku TONY ADAM akiwa captain mpiganaji, aliisaidia Arsenal kutwaa Tena double msimu wa 2001/2002.
Anafahamika kama MR. ARSENAL kutokana na mapenzi yake kwa arsenal, aliwahi kusema LETA MKATABA ATAUSAINI BILA KUUSOMA kuhusu kuchezea Arsenal
NI MMOJA KATIKA YA WATU WACHACHE WALIOTWAA EPL NA FIRST DIVISION
PIA NI MMOJA KATI YA WACHACHE WALIOTWAA MATAJI KTK MIONGO MINNE (1988, 1991,1997,2002)
Clubs: Arsenal
Honours: 2 Division One Championships,
2 Premier League Titles,
3 FA Cups,
1 European Cup-Winner’s Cup, 2 League Cups
Caps: 66, 5 goals
JE WEWE UNAMFAHAMU VIPI HUYU LEGEND WA EPL?
alianza kucheza Soka katika academy ya arsenal 1980-83 ilipofika mwaka 1983 alipandisha Timu ya wakubwa Kama beki wa kati,
Akiwa timu ya wakubwa alionesha uwezo mkubwa huku akiisaidia Arsenal kutwaa UBINGWA WA FIRST DIVISION CHAMPIONSHIP mara mbili msimu wa 1988 na msimu wa 1991.
Anatajwa katika orodha ya WACHEZAJI BORA 100 WA SOKA BORA WA MUDA WOTE,
Akiwa Arsenal alikuwa Mlevi sana, na rafiki ya Ray parlour, wote wanatokea Kitongoji cha ROMFORD
Kutokana na kukithiri kwa tabia za ulevi katika klabu ya arsenal kulisababisha Timu kufanya vibaya, huku kwa kipind hicho wakiambulia MATAJI ya league cup na UEFA WINNERS CUP mwaka 1993, hii ilipelekea mwaka 1995 kocha Graham kufukuzwa.
Mwaka 1996 alikuja mzee ARSENE WENGER ambaye aliwabadilisha mienendo ya maisha ya wachezaji wengi walevi wa Arsenal akiwepo TONY ADAM, na RAY PARLOUR, LE DIXON, NIGEL WINTERBURN aliwabadilishia life style kuanzia mazoez had Lishe,
Walibadilika walipigana kufa na kupona na mwaka huo huo walitwaa DOUBLE (FA CUP & EPL) msimu wa 1997/1998
Huku TONY ADAM akiwa captain mpiganaji, aliisaidia Arsenal kutwaa Tena double msimu wa 2001/2002.
Anafahamika kama MR. ARSENAL kutokana na mapenzi yake kwa arsenal, aliwahi kusema LETA MKATABA ATAUSAINI BILA KUUSOMA kuhusu kuchezea Arsenal
NI MMOJA KATIKA YA WATU WACHACHE WALIOTWAA EPL NA FIRST DIVISION
PIA NI MMOJA KATI YA WACHACHE WALIOTWAA MATAJI KTK MIONGO MINNE (1988, 1991,1997,2002)
Clubs: Arsenal
Honours: 2 Division One Championships,
2 Premier League Titles,
3 FA Cups,
1 European Cup-Winner’s Cup, 2 League Cups
Caps: 66, 5 goals
JE WEWE UNAMFAHAMU VIPI HUYU LEGEND WA EPL?