Pre GE2025 Mjumbe Kamati Kuu CCM: CHADEMA waendelee na "No Reform No Election", sisi tunaendelea kujenga nchi

Pre GE2025 Mjumbe Kamati Kuu CCM: CHADEMA waendelee na "No Reform No Election", sisi tunaendelea kujenga nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Mjumbe wa Kamati kuu ya Taifa CCM, Charles Mwakipesile amesema kauli ya Chadema ya "No reform no Election" ni kauli ya kisiasa na kauli hiyo hawawezi kuipa nguvu kwani wao ni Chama kinachofata Katiba.

 
Njiti Moja ya kibiriti huchoma msitu Mkuu

Kalagabaho!!
 
Ccm ni utumbo na kichuri
IMG_0529.jpeg
 
Wakuu,

Mjumbe wa Kamati kuu ya Taifa CCM, Charles Mwakipesile amesema kauli ya Chadema ya "No reform no Election" ni kauli ya kisiasa na kauli hiyo hawawezi kuipa nguvu kwani wao ni Chama kinachofata Katiba.

Mnajenga au mnabomoa? Kuusema ukweli angalao mara moja moja sii dhambi.
 
Back
Top Bottom